Yes , stay positive alwaysAkili ya kimasikini huwa inafikiria tajiri kapata hela kwa njia isiyo halali na siku akisikia mwenye hela amepata matatizo basi masikini hufurahi kiasi kwamba itampunguzia ugumu wa maisha.
Sina hela wala mali ila akili za kimasikini sina ndicho najivunia.
Awapigie tra na ccm wimbo wake ule wa acha nikae kimyaCcm mbere kwa mbere
“Chitaki Kodi TRA ni wapinzani”Ila ujamuelewa alichozungumza wala sio issue yeye kulipa kodi
Hili neno hata Mbowe alilisemaC uliwaambia Samia mam lao au
Sure. hili kama movie lakihindi tu.. kheri ya mwaka mpyaaDiamond ni mtaalam sana ktk hicho kipengele mkuu... Yote hii ni show yake ya kesho .. public sympathy
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
Heri na kwako mkuu..Sure. hili kama movie lakihindi tu.. kheri ya mwaka mpyaa
Umesema kweli. Kama anataka aajiri Accountants wabobezi na Tax consultants wakueleweka. Sio kuzungukwa na machawa kina Mwijaku na baba levo au mama yake! AtakwamaKwa vile mimi nina kampuni, wengi wa wafanyabiashara wadogo walioshika pesa ndefu kwa bahati, vipaji na mambo fulani, are not tax compliance, hao mameneja wao ni mameneja sio mameneja lolote, chochote, ni ma promota tuu!, Wasafi lazima aajiri Tax Consultant, amsaidie kwenye tax compliance, haya mambo ya e- filling yanahitaji umakini mkubwa!.
Diamond Platinumz na Wasafi media lazima alipe kodi stahiki kwa kila mapato halali anayoingiza, asitafute visingizio na kutafuta huruma kwenye mitandao ya jamii!.
TRA wako very right kumfungia accounts, ukiona hivyo ujue alitumiwa reminder kibao za kodi atapuuzia, leo ndio tarehe ya mwisho ya TRA kufunga mwaka wa kikodi, hivyo akalipe tuu kodi zetu zote na accounts zinafunguliwa leo leo.
P
Halafu wanaomtetea wanashindwa kujua kuwa hizo ni hela wanazompa na kila mapato lazima yalipe kodi.Kabisa Mkuu ,US hawana mchezo ukikwepa kodi,Hao kina sinza ni Misukule ya Dainamo ,inalipwa inavyomtetea Boss wao humu ,Dainamo anapata pesa lakini halipi kodi kabisa ,TRA wamemminya Makende anaanza kulia lia wakati huku sie Apeche alolo tunalipa kodi..
Wanarudisha pesa za kampeni ulizoongwa na ccm. Kula uliwe ndo sloganView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Si mlikuwa mnasifu Samia kuwa anadai kodi kwa staa,akagui na ku funga account za watu kama Magufuli, Sasahivi Diamond analalamika mnaanza kusema alikuwa anakwepa kodi.Samia alisema Magufuli alikuwa anawanyanganya watu ela yao kupitia tra,sasa mbona naye anafanya hayo hayo.Awaache TRA wamkague, nyie si ndio mnaliaga eti mama anakopa, Sasa mama ameamua kukusanya.
TRA wanatembea mpaka manzese, kwenye maduka, yeye nani asitembelewe?
Na anajua kwamba serikali imeshajua kitu katika makampuni yake. Don't mess na Serikali inapokuwa kazini
Kwa hiyo kujiliza mitandaoni ndo utasamehewa?View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA