Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Yes , stay positive always
 
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?

Kwa afrika hii sio rahisi uwe tajiri au umiliki ukwasi mwingi bila kuwa chawa wa Serikali.

Vinginevyo hufiki popote
 
Umesema kweli. Kama anataka aajiri Accountants wabobezi na Tax consultants wakueleweka. Sio kuzungukwa na machawa kina Mwijaku na baba levo au mama yake! Atakwama

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Halafu wanaomtetea wanashindwa kujua kuwa hizo ni hela wanazompa na kila mapato lazima yalipe kodi.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
"shetani Hana rafiki"
Mwisho wa kunukuu
 
Si mlikuwa mnasifu Samia kuwa anadai kodi kwa staa,akagui na ku funga account za watu kama Magufuli, Sasahivi Diamond analalamika mnaanza kusema alikuwa anakwepa kodi.Samia alisema Magufuli alikuwa anawanyanganya watu ela yao kupitia tra,sasa mbona naye anafanya hayo hayo.
 
Kwa hiyo kujiliza mitandaoni ndo utasamehewa?
Kila siku tunaambiwa shule ni muhimu, ninyi munaamini pesa hupatikana hata bila shule! Ndiyo sasa utaweza kuilinda bila watu wenye shule? Ajiri watu wenye shule wakuelekeze uhusiano wako na serikali. Hakuna ushabiki na mihemuko hapa! Waulize akina Messy wanaishije?
 
Kama ni Kodi halali lipa tu,kama unaonewa si sawa......kuimba kwenye kampeni haimaanishi hutolipa Kodi kijana
 
Your browser is not able to display this video.

Samia mama lao..

Mama anaupiga mwingi

Mwaka ujao tena tuwasubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…