Kwa vile mimi nina kampuni, wengi wa wafanyabiashara wadogo walioshika pesa ndefu kwa bahati, vipaji na mambo fulani, are not tax compliance, hao mameneja wao ni mameneja sio mameneja lolote, chochote, ni ma promota tuu!, Wasafi lazima aajiri Tax Consultant, amsaidie kwenye tax compliance, haya mambo ya e- filling yanahitaji umakini mkubwa!.
Diamond Platinumz na Wasafi media lazima alipe kodi stahiki kwa kila mapato halali anayoingiza, asitafute visingizio na kutafuta huruma kwenye mitandao ya jamii!.
TRA wako very right kumfungia accounts, ukiona hivyo ujue alitumiwa reminder kibao za kodi atapuuzia, leo ndio tarehe ya mwisho ya TRA kufunga mwaka wa kikodi, hivyo akalipe tuu kodi zetu zote na accounts zinafunguliwa leo leo.
P