Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
Kwan manzese uswahilini TRA hawafiki?
 
Hatunywiii sumu
Hatujinyongiiii
Ccm mbele kwa mbeleee

Kila mtu atafikiwa
“Jiwe Baba Lao, Bashite Baba Lao”
F427240C-DA3B-4A2C-AB4F-B2D721CF3EAB.jpeg
 
View attachment 2463774

“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”

“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.

Pia soma;

TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
CCM wanataka kuchukua mamilioni waliyokulipa wewe Diamond wakati walipokutumia kwenye kampeni za 2020 maana wanajua hukuwasidia kitu chochote kushinda maana walipora na kunyakua ushindi kwa nguvu wakitumia polisi-CCM, usalama wa taifa, jeshi-JWTZ, magereza, tume ya uchaguzi, jeshi la uhamiaji nk
 
Mkiambiwa hiyo serikali ni broke na inaelemewa na madeni amuelewi.

Walau zama za Magufuli walikuwa wanafuata sheria kabla ya kufunga account. Unafuatwa, toa ushirikiano, toa vielelezo (yes sheria inataka utunze ushahidi miaka 5) wanakufanyia bank reconciliation, uko poa unaachwa, kuna shida (huna invoices) wanazuia account kwa upelelezi zaidi, uchunguzi ukiisha unapewa new tax bill. Ukubaliani na kodi mnaenda kubishana mahakamani kama ile shule ya Arusha na unashinda kesi if you are innocent.

That’s the law ila wahuni na wakwepa kodi wakapindisha ukweli kwa kumtukuna Magufuli kwa kutumia TRA kupora wafanyabiashara na baadhi ya wakwepa kodi wamekimbilia NEC sasa.

Desperation ya serikali ya sasa ndio wameanza kupora kweli bila ya kuheshimu sheria, account inashikiliwa bila ya mwenyewe kupewa taarifa kwanza si ndio uporaji wenyewe huo; ina maana muhusika ata ujashirikishwa kuelewa wanataka nini ndio kodi inavyodaiwa hivyo au huu ni uporaji.

Na bado akili zitakaa sawa tu, chezea madeni. Ila safari hii wakituletea tozo za ajabu tutawahamishia wao kuelekea Burundi kwa kuanza na Mwigulu.
Walimuita Magu shetani hoa kima. Wacha wajambe sasa tena huu ndio wakati mzuri wa kusema mama anaupiga mwingi.
 
Aiseee. Wengine tukajuwa kuhodhi macheni ya 500m/= na kujigamba nayo basi hata TRA wakileta zao siyo issue?!
Analalamika kama sisi?! Kumbe kabwela tu Diamond. Kujimwambafayi kumbe hamna kitu.
Maisha ya social media fake sana sana aise
Jamaa ameminywa kidogo kende kelele kibao pesa yenyewe mil 700 kama dola 300 hv. Kwa ukubwa wa jina lake na kiasi cha pesa haviendani dogo kabwela huyu. Wangekuwa wamemkamatia B7 hapo ningeelewa.
 
View attachment 2463774

“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”

“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.

Pia soma;

TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Nenda kazungumze nao na usipige kelele mitandaoni hauwezi kusaidika. Kile kipini cha pua umelipia Kodi kweli , jitahidi uende nacho watakuhurumia kwa kweli
 
Jamaa ameminywa kidogo kende kelele kibao pesa yenyewe mil 700 kama dola 300 hv. Kwa ukubwa wa jina lake na kiasi cha pesa haviendani dogo kabwela huyu. Wangekuwa wamemkamatia B7 hapo ningeelewa.
Wewe hiyo hela umewahi hata kushika
 
Wewe kula kulala ndio maana unaponda jitihada za mtu mwingine ungekuwa ni mtafutaji usingeongea maneno kama hayo
Kila mtu ni mtafutaji humu,
Asake wa Tandale anatakiwa aachane na machawa afanye Kuajiri Tax Consaltants wafanye kazi kitaalam. Biashara sio kupiga manyanga.
 
Ngoja yakukute ndio utatia akili
Kwamba unadhani hayajanikuta au ni mapya kwangu?nikikuwekea mikeka yangu ya huko TRA inayosubiria hizi sikukuu ziishe ungekufa kwa presha, kodi zinaumiza siku zote hamna mtu ambaye anazipenda, ila ndio sheria lazima ifuatwe...wembe ninaonyolewa nao ndio huo huo unawanyoa wafanyakazi serikalini, sekta binafsi na unatakiwa ukunyoe wewe na diamond platnumz pia
 
View attachment 2463774

“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”

“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.

Pia soma;

TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Sio wewe tu acha kujiona upo peke yako, ni kuwa wengi hawapendi kukimbilia kuonewa huruma kwa kulalamika kwenye vyombo vya habari, lipa kodi zinavyostahili na uwe muwazi, onyesha risiti za VAT za matumizi yako kutokana na kandarasi ulizotolea malipo ya VAT. Kuna wengine wamelalamika humu hawa wanaomiliki vituo vya mafuta na changamoto wanazopata za kupigwa faini na kufungiwa akaunti zao wakati tatizo ni za mashine ya risiti kuwa zinaharibika. Domo umezidi kulialia, kila siku unalalamika kuonewa.
 
Back
Top Bottom