Kwan manzese uswahilini TRA hawafiki?Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan manzese uswahilini TRA hawafiki?Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
“Jiwe Baba Lao, Bashite Baba Lao”Hatunywiii sumu
Hatujinyongiiii
Ccm mbele kwa mbeleee
Kila mtu atafikiwa
CCM wanataka kuchukua mamilioni waliyokulipa wewe Diamond wakati walipokutumia kwenye kampeni za 2020 maana wanajua hukuwasidia kitu chochote kushinda maana walipora na kunyakua ushindi kwa nguvu wakitumia polisi-CCM, usalama wa taifa, jeshi-JWTZ, magereza, tume ya uchaguzi, jeshi la uhamiaji nkView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Du nilishani shoga fulani hivi! Eleza ni kwanini wamechukua au maunga?View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Walimuita Magu shetani hoa kima. Wacha wajambe sasa tena huu ndio wakati mzuri wa kusema mama anaupiga mwingi.Mkiambiwa hiyo serikali ni broke na inaelemewa na madeni amuelewi.
Walau zama za Magufuli walikuwa wanafuata sheria kabla ya kufunga account. Unafuatwa, toa ushirikiano, toa vielelezo (yes sheria inataka utunze ushahidi miaka 5) wanakufanyia bank reconciliation, uko poa unaachwa, kuna shida (huna invoices) wanazuia account kwa upelelezi zaidi, uchunguzi ukiisha unapewa new tax bill. Ukubaliani na kodi mnaenda kubishana mahakamani kama ile shule ya Arusha na unashinda kesi if you are innocent.
That’s the law ila wahuni na wakwepa kodi wakapindisha ukweli kwa kumtukuna Magufuli kwa kutumia TRA kupora wafanyabiashara na baadhi ya wakwepa kodi wamekimbilia NEC sasa.
Desperation ya serikali ya sasa ndio wameanza kupora kweli bila ya kuheshimu sheria, account inashikiliwa bila ya mwenyewe kupewa taarifa kwanza si ndio uporaji wenyewe huo; ina maana muhusika ata ujashirikishwa kuelewa wanataka nini ndio kodi inavyodaiwa hivyo au huu ni uporaji.
Na bado akili zitakaa sawa tu, chezea madeni. Ila safari hii wakituletea tozo za ajabu tutawahamishia wao kuelekea Burundi kwa kuanza na Mwigulu.
Jamaa ameminywa kidogo kende kelele kibao pesa yenyewe mil 700 kama dola 300 hv. Kwa ukubwa wa jina lake na kiasi cha pesa haviendani dogo kabwela huyu. Wangekuwa wamemkamatia B7 hapo ningeelewa.Aiseee. Wengine tukajuwa kuhodhi macheni ya 500m/= na kujigamba nayo basi hata TRA wakileta zao siyo issue?!
Analalamika kama sisi?! Kumbe kabwela tu Diamond. Kujimwambafayi kumbe hamna kitu.
Maisha ya social media fake sana sana aise
Ngoja azione true colours za CCM.Ndo huyuhuyu
Nenda kazungumze nao na usipige kelele mitandaoni hauwezi kusaidika. Kile kipini cha pua umelipia Kodi kweli , jitahidi uende nacho watakuhurumia kwa kweliView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Wewe hiyo hela umewahi hata kushikaJamaa ameminywa kidogo kende kelele kibao pesa yenyewe mil 700 kama dola 300 hv. Kwa ukubwa wa jina lake na kiasi cha pesa haviendani dogo kabwela huyu. Wangekuwa wamemkamatia B7 hapo ningeelewa.
Mimi sio maarufu lkn mtaji wangu wa biashara unachezea levo hizoWewe hiyo hela umewahi hata kushika
Wewe kula kulala ndio maana unaponda jitihada za mtu mwingine ungekuwa ni mtafutaji usingeongea maneno kama hayoMimi sio maarufu lkn mtaji wangu wa biashara unachezea levo hizo
No p.Wewe kula kulala ndio maana unaponda jitihada za mtu mwingine ungekuwa ni mtafutaji usingeongea maneno kama hayo
Wewe kula kulala ndio maana unaponda jitihada za mtu mwingine ungekuwa ni mtafutaji usingeongea maneno kama hayoMimi sio maarufu lkn mtaji wangu wa biashara unachezea levo hizo
Ccm Baba rao, wasafi chama raoMkuu ngoja na wewe yakupate tuone utacomment nini
Kila mtu ni mtafutaji humu,Wewe kula kulala ndio maana unaponda jitihada za mtu mwingine ungekuwa ni mtafutaji usingeongea maneno kama hayo
Ngoja yakukute ndio utatia akiliPasipokujua hiki kikombe wafanyabiashara wote tunanywea....tatizo ujuaji mwingi...hapo unakuta kawazingua sana maofisa, tena huyu atakuwa yule wa "hapa hawalambi hata kumi"
Kwamba unadhani hayajanikuta au ni mapya kwangu?nikikuwekea mikeka yangu ya huko TRA inayosubiria hizi sikukuu ziishe ungekufa kwa presha, kodi zinaumiza siku zote hamna mtu ambaye anazipenda, ila ndio sheria lazima ifuatwe...wembe ninaonyolewa nao ndio huo huo unawanyoa wafanyakazi serikalini, sekta binafsi na unatakiwa ukunyoe wewe na diamond platnumz piaNgoja yakukute ndio utatia akili
Sio wewe tu acha kujiona upo peke yako, ni kuwa wengi hawapendi kukimbilia kuonewa huruma kwa kulalamika kwenye vyombo vya habari, lipa kodi zinavyostahili na uwe muwazi, onyesha risiti za VAT za matumizi yako kutokana na kandarasi ulizotolea malipo ya VAT. Kuna wengine wamelalamika humu hawa wanaomiliki vituo vya mafuta na changamoto wanazopata za kupigwa faini na kufungiwa akaunti zao wakati tatizo ni za mashine ya risiti kuwa zinaharibika. Domo umezidi kulialia, kila siku unalalamika kuonewa.View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA