Naandika ujumbe kwa majonzi makubwa.
Ikumbukwe kuwa Leo kama ilivyokuwa ikitangazwa kuwa ni siku ya wanafunzi kushuhudia show pale mliman city. Mimi kama mmoja wa wanafunzi hao nimeacha madesa yangu nikaona niende kuangalia show nikijua diamond a.k.a simba ataimba kama walivyo kuwa wamtuaminisha lakini mwisho wa siku nimeishia kumuona dula makabila.. so sad.. nimeondoka kinyonge sana aisee
Usiku mwema jamani..
Ikumbukwe kuwa Leo kama ilivyokuwa ikitangazwa kuwa ni siku ya wanafunzi kushuhudia show pale mliman city. Mimi kama mmoja wa wanafunzi hao nimeacha madesa yangu nikaona niende kuangalia show nikijua diamond a.k.a simba ataimba kama walivyo kuwa wamtuaminisha lakini mwisho wa siku nimeishia kumuona dula makabila.. so sad.. nimeondoka kinyonge sana aisee
Usiku mwema jamani..