Diamond ulichokifanya umenifanya nihamie timu kiba

Diamond ulichokifanya umenifanya nihamie timu kiba

Naandika ujumbe kwa majonzi makubwa.
Ikumbukwe kuwa Leo kama ilivyokuwa ikitangazwa kuwa ni siku ya wanafunzi kushuhudia show pale mliman city. Mimi kama mmoja wa wanafunzi hao nimeacha madesa yangu nikaona niende kuangalia show nikijua diamond a.k.a simba ataimba kama walivyo kuwa wamtuaminisha lakini mwisho wa siku nimeishia kumuona dula makabila.. so sad.. nimeondoka kinyonge sana aisee

Usiku mwema jamani..
Kwani ni yeye Diamond alisema atakwepo au watangazaji walisema atakwepo?
 
Hilo swala linamuhusu je diamond? Muulize muandaaji, au ulitoa kiingilio udai hela yako
 
kwani ukisikia hapa panaitwa "bongo" unadhani ni rahisi rahisi tu.....

changamsha ubongo huo siku ingine,,

naomba na mrejesho wa ile discount mliopewa ya kuanzia 20%-70%
Hivi mkuu bongo ni wapi ni Dar au TZ
 
Makonda mwenye fafafa na Jina fake anawakusanywa vijana wa chuo na kuwasimamisha wanuke jasho huku akiwahada LIVE!!
 
Naandika ujumbe kwa majonzi makubwa.
Ikumbukwe kuwa Leo kama ilivyokuwa ikitangazwa kuwa ni siku ya wanafunzi kushuhudia show pale mliman city. Mimi kama mmoja wa wanafunzi hao nimeacha madesa yangu nikaona niende kuangalia show nikijua diamond a.k.a simba ataimba kama walivyo kuwa wamtuaminisha lakini mwisho wa siku nimeishia kumuona dula makabila.. so sad.. nimeondoka kinyonge sana aisee

Usiku mwema jamani..
Lakini si umefanikiwa kumwona Albert Bashite live? Sio mbaya.
 
we ni jinga sana. umetoka kwenu huko sengerema umekuja chuo mwaka huu unataka umuone diamond kwa kutumia kitambulisho cha chuo? kapambane na madesa mkuu.....
Mkuu nimekuvulia kofia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...sengerema to Dar.
 
Aahh wee jamaa, soma kwanza.
Acha ujinga kitaa kigumu
Diamond hakuji yeye anamaisha yake.
 
we ni jinga sana. umetoka kwenu huko sengerema umekuja chuo mwaka huu unataka umuone diamond kwa kutumia kitambulisho cha chuo? kapambane na madesa mkuu.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenivunja mbavu.
 
Reasoning capacity yako wewe mwanafunzi inatia mashaka. Wapiga promo wamewaingiza chaka then kosa anapewa Diamond? Haya mateam kumbe mpaka wanafunzi wa University!?
Kama alikuwa anajua haendi na anaona jina lake likitumika ktk matangazo nafikiri ingekuwa ni busara kukanusha ili kuwapa imani shabiki zake.
 
Back
Top Bottom