Diamond uwe na huruma, umemdhalilisha sana Hamisa Mobetto

Hahaa inasikitisha sana kwa kweli. Halafu utakuta ni baba na mandevu yake kabisa.
 

Kwani kazaa na Diamond peke yake?

Ukishazaa na mwanaume wa kwanza bila ndoa, ukazaa na mwingine bila ndoa, sahau ndoa.

Hukutakiwa kurudia kosa.
 
Kwani kazaa na Diamond peke yake?

Ukishazaa na mwanaume wa kwanza bila ndoa, ukazaa na mwingine bila ndoa, sahau ndoa.

Hukutakiwa kurudia kosa.
Wengine hawana time na kuolewa kakaa!!!

Ila wapo wenye watoto na wanaolewa pia!
 
Yuko tayari kudhalilihswa na ataendela kudhallishwa mpaka siku atakopotia akili
 
Kwani kazaa na Diamond peke yake?

Ukishazaa na mwanaume wa kwanza bila ndoa, ukazaa na mwingine bila ndoa, sahau ndoa.

Hukutakiwa kurudia kosa.
Wengine huwa wanaolewa ila kizazi cha sasa kuoa mwanamke mwenye watoto wawili ni kipaji,wazazi wetu waliweza ila sisi vijana ni ngumu.
Huyu dada yeye anazaa ila afanikishe maisha yke hilo liko wazi
 
Hamisa pekee ndie anaweza kuishi na yule kijana malaya. Zari kakimbia kwa kujiona, sasa anahaha mitandaoni akitumia hadi watoto ili arudiwe. Umri alionao D ukiolewa nae uwe na moyo kama wa Hamisa, anashukuru na anachopata si zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…