Diamond mungu akikusimamia ukabeba tuzo za MTV,sijui hawa mashabiki na team ujinga watajificha wapi,,,izi team ujinga nazichukia sana,na ningekua diamond ningechukua maamuzi magumu kuama na kuwaachia liinchi lenu,,make hampendagi mtu afanikiwe sijui mnamioyo gani,,,jinga sana
hamjifunzi hata kwa waliopita??? iv mnakumbuka mlivokua mnamshindanisha kanumba na Ray?? hamkujua kama Ray ule ugonvi ulimpa ushindani kwa kanumba na kumfanya nae tumuonemo,, lkn kanumba kasepa mnasema pengo hakuna wakuziba,,Ray kwa sasa kachuja na hakuna anefatiria movie kivile za huyu mtu,kanumba ndo alifanya watu tukaacha kuhusudu nigeria movie,
hivi hivi kwa diamond,alikiba anaonekana sababu ya hili bifu na team ujinga,alafu mashabiki ndio tunawashindanisha wala sio wao,apo ndo utajua kuna watu wanafiki sana tz,
akichukua tuzo hata moja sijui mtajificha wapi,,mungu mbariki Diamond, mbariki vanessa