AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Boss wa kiba utakuta keshapewa na papuchi[/QUOTEVote vote vote
Watu mmepagawa imekuwaje kwani? Kama muziki wa Diamond ni mzuri pressure ya nini? Uliwahi kusikia Michael Jackson anaomba kupigiiwa kura.
Nashow ni Cash sio mikopo
aliunga mkono na kuimba kibwagizo cha PIGA KURA YA NDIYO KATIBA MPYA si mzalendo.... na kura yangu kwa davido.Hadi kwa hili tunakosa utaifa kweli???!
Channel gan wataunganisha live?
ndiyo sura na maumbo yetu waafrica...proud of this picJamanii Leo nimefurahiii kiii kiiii geniveros nimekuwekea picha muonyeshe mwanao yule mdogo lazima anywe uji
Ujinga ujinga tu yaani kina Bwana Samata na Ulimwengu Thomas wapo leo anamtaja cr ambae hata haijui tz pyuuuuuuuuuu zake kule uzalendo hauolazimishi
aliunga mkono na kuimba kibwagizo cha PIGA KURA YA NDIYO KATIBA MPYA si mzalendo.... na kura yangu kwa davido.
katiba mbovu itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo na mond kaishupalia
Acha utoto wako humu bana au naww n x wa mondi?