brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Diampond platnumz ametajwa kuwania kipengele cha Best male East Africa, Vanessa Mdee akiwania kipengele cha best female East Africa, Wakazi akiwania best hip hop , Yamoto Bendi wakiwania kipengele cha most promosing male artist of Africa na Mrisho Mpoto anaewania traditional male artist of Africa.
Washindi wa vipengele vya best male na best female watapata tuzo na pesa dolla 50000 kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania.
Washindi wa vipengele vya best male na best female watapata tuzo na pesa dolla 50000 kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania.