Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Hakuna mwanaume anayeweza kugombana na mwanamke akashinda..

Wanaume tumepewa uwezo wa kuvumilia na 'ku-absorb shocks' kwa yote magumu yanayotusibu, Bro's you can never win an argument with a woman..

Ulikuwa na mahusiano na mtu achana naye for good, move on and embrace your life...
 
Inauma hiyo na Tiffa siku hizi akisali ni thank you for my brothers, my mother and babaa. Lazima maumivu yazidi
Diamond alijua Zari atastruggle kuwamudu wale watoto peke yake akajua Zari lazima atajipendekeza tu Sasa imekuwa kinyume

Mwanamke yoyote anaweza kulea watoto 5 peke yake wakawa smart na health na shule wanaenda vizuri anapaswa kupongezwa Sana Ni wa kipekeee

Wanawake wengi huku mtaani wameachiwa utajiri na watoto lakini huwezi kuamini walivyolegea baada ya mwanaume kuondoka au kufa, Mali zote zinapukutika na watoto wanakosa malezi bora
 

Hivi mwanaume gani akuhonge magari ya kifahari yenye plate namba za jina lako kiasi kile?? Na majumba ya kifahari??

Mmesahau Kama ana zari all white party ambayo hufanya nchi nyingi??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanavyojuaga kumtetea na mauchafu yake kama anawalipa. Kweli mahaba upofu.
Kwaiyo tetesi za kusema diamond huwa analala na bi mkubwa wake Ni kweli?
Maana Ni za kitambo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo inspiration anazowapa Diamond hizo?
Exactly, ukiwa na mindset ya kimasikini unaweza usibebe lolote yule ana mazuri mengi kuliko mabaya hivi ni celeb gani bongo ana mafanikio kama yake? Jib ni hakuna tufanye nini angalau tumfikie hata nusu jibu ni kufanya kazi kwa bidiii yule hata akifanya umbwiga mtamsema tu.

Kazaliwa familia ya kimaskini ila ana akili kama za watoto wakishua akili yangu ilikuwa imelala sana nikiona zinatosha kumbe bado natakiwa nijaze zaidi
 
Nishakufahamu wewe ni eidha mdangaji au umepanuka sana huko chini.

Relax uendelee kumfatilia Simba ufe vizuri na roho mbaya

Povu linajua kukutoka shabiki maandazi[emoji23] mlishazoea huyo mwakitombile adhalilishe wanawake tu sasa hivi amepata kiboko yake[emoji1476]
 
Kwaiyo
Wema
Hamisa
Uwoya
Hawa
Zari
Wanawake Hawa wote walikuwa wanamcheat yeye alikuwa muaminifu akawaacha?
Hapo labda Hawa ndiye mwanamke lakini hao wengine nikupiga nakutambaa,katika mademu wote aliodate nao Mondi ninayemkubali mmoja tu Menina,lakini wengine wote malaya tu .
 
Povu linajua kukutoka shabiki maandazi[emoji23] mlishazoea huyo mwakitombile adhalilishe wanawake tu sasa hivi amepata kiboko yake[emoji1476]
Damn she's a pig cunt zari hamuwezi muhuni yule.

Umesahau interview ya ZARI BBC alivyomsema mondi? Unakumbuka???
 
Hapo labda Hawa ndiye mwanamke lakini hao wengine nikupiga nakutambaa,katika mademu wote aliodate nao Mondi ninayemkubali mmoja tu Menina,lakini wengine wote malaya tu .
Mungu hakupi unachotaka Mungu anakupa unachostahili

Unaposema hao wanawake ni Mal.aya sio Diamond utamuitaje
 
duh brother kwani una chuki na mshkaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…