Kama alivyozungumza pale clouds fm kwamba mtoto wa Hamisa Mobeto sio wake?Wala hajamzungumzia vibaya yeye Mond kaamua kueleza umma kwamba anachozushiwa sio kweli but ukweli ni A,B,C....
Diamond alijua Zari atastruggle kuwamudu wale watoto peke yake akajua Zari lazima atajipendekeza tu Sasa imekuwa kinyumeInauma hiyo na Tiffa siku hizi akisali ni thank you for my brothers, my mother and babaa. Lazima maumivu yazidi
Zari nilimjua kitambo enzi hizo nafuatilia East Africa showbiz.. alikuwa anatajwa kama socialite mwenye pesa zaidi EA ila kilichonishangaza ni kuonesha fancy cars na nyumba lakini hana historia ya kukuambia alivipataje zaidi ya kujihusisha na rich gang ya UG..
Hana tofauti na Vera maana wote ni socialites successful waliojua kutumia miili yao vizuri; hapa bongo hakuna socialites wenye pesa maana wengi elimu form four na zero exposure (hapa ndipo zari kawazidi haswa kwenye exposure)..
Mimi huwa nikiwaangalia hawa wanaosema ni role model huwa najiuliza ni kwenye nini ???... wabongo kwa shobo asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii siku sisahau. Kaka muongo huyu jamani. Yani alikana hadharani kua mtoto sio wakeKama alivyozungumza pale clouds fm kwamba mtoto wa Hamisa Mobeto sio wake?
Kwaiyo tetesi za kusema diamond huwa analala na bi mkubwa wake Ni kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanavyojuaga kumtetea na mauchafu yake kama anawalipa. Kweli mahaba upofu.
Exactly, ukiwa na mindset ya kimasikini unaweza usibebe lolote yule ana mazuri mengi kuliko mabaya hivi ni celeb gani bongo ana mafanikio kama yake? Jib ni hakuna tufanye nini angalau tumfikie hata nusu jibu ni kufanya kazi kwa bidiii yule hata akifanya umbwiga mtamsema tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo inspiration anazowapa Diamond hizo?
Yes you've a point 👏👏kama mlivyokutana ndivyo mtakavyoachana...
Haiwezekani wanawake wote ndo chanzo yeye msafiMimi simtetei Zari ila Diamond kazidi ana atulizi kifimbo chake
Nishakufahamu wewe ni eidha mdangaji au umepanuka sana huko chini.
Relax uendelee kumfatilia Simba ufe vizuri na roho mbaya
Achana nao wamekosa cha kuongea,wanataka kuhamisha mjadala uwe matusi tuu..
Hapo labda Hawa ndiye mwanamke lakini hao wengine nikupiga nakutambaa,katika mademu wote aliodate nao Mondi ninayemkubali mmoja tu Menina,lakini wengine wote malaya tu .Kwaiyo
Wema
Hamisa
Uwoya
Hawa
Zari
Wanawake Hawa wote walikuwa wanamcheat yeye alikuwa muaminifu akawaacha?
Damn she's a pig cunt zari hamuwezi muhuni yule.Povu linajua kukutoka shabiki maandazi[emoji23] mlishazoea huyo mwakitombile adhalilishe wanawake tu sasa hivi amepata kiboko yake[emoji1476]
Picha iliyozua mambo bwahahahahahahahaaaView attachment 1079678
Hivi Zari sio muislamu Samahani kwa maswali yangu best
At least ana uturi wa pesa,wewe je?Na shombo lako la samaki wa feri tusemeje?Hv kwann mnaamini zari ana pesa??
Zile show offs ndo zinawadanganya hvyo?guys dah hv mnamjua zari vizuri??
Mungu hakupi unachotaka Mungu anakupa unachostahiliHapo labda Hawa ndiye mwanamke lakini hao wengine nikupiga nakutambaa,katika mademu wote aliodate nao Mondi ninayemkubali mmoja tu Menina,lakini wengine wote malaya tu .
duh brother kwani una chuki na mshkaji?Hivi kwa akili ya kawaida tu ya Bashite unamwamini Domo tena katika mazingira aliyoongea na muda kuhusu suala hilo ?
Kwa jinsi Zari alivyokuwa desperate wakati anakutana na Domo unadhani kweli alikuwa na mtu ?
Zari ni mtu wa social media na mapicha picha ndio maana mapicha yote ya kina Faruk na mcheza basket yapo, kwanini ya Peter yasiwepo.
Mimi namhurumia Peter na familia yake.
Namhurumia Zari na familia.
Domo ni shetani aliye tayari kufanya chochote au kusema chochote kuji-boost.
Kaona Tanasha na drama ya ndoa kaona hakuna mwenye time nayo, kaona amchafue Zari.
Domo ndo kwanza ana 30 yrs, mpaka anafikisha 32 nadhani atakuwa ashasema analiwa Tigo, anamla mama yake au mwanaye.
Maana siku hizi kazi zake haziendi kabisa bila madrama.