Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond ana kifua sana aisee,kaishi kwa machungu muda wote huo kumbe alikua anamegewa hahahah
Diamond anatunza sana maumivu, alianza toka kwa Wema. Wakati wako na Wema, Wema alikuwa anamegwa na watu kibao ila tu Mond alikuwa kimya.
Kwanza alikuwa underground , ikabidi awe mpole tu ila alikuwa anaumia sana.
 
You nailed it boss
 
Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card
wanawake mnaonewa ninyi tu kila siku,mkiambiwa ukweli mnakuja juu. tulieni sindani iingie vizuri.
 
Advantage ya Zari kwa Sasa Ni biashara za Ivan ziko chini yake vyuo vyote vya Brooklyn City vipo chini yake yeye ndo CEO so pesa ya kumudu watoto hawezi kosa hata ukisikia Diamond anasema chanzo Cha kuachana Ni baada ya Zari kumgomea kuja kuishi Tanzania na yeye kukaa mwezi hawezi ndo akawa na Hamisa ndo Zari akamkatia mawasiliano kabisa hata kwa watoto Apo unaweza ona
 
Huyu jamaa angeishi hata miaka 45 nafikiri angek
Diamond anachoumia kimoja tu. Alijua Zari atamng'ang'ania kama ile misukule yake mingine.
Kakutana na mtu mpaka video ya uchi anayo ahangaike na pizza delivery boy inahusu?
Pizza delivery tena,cha ajabu mi ukinipa shilole na zali ntakula shilole zali filters tu afu anaonekana hana radha ya ugali orijino shilole anayo.
 
umeongea ukweli kabisa mwanaume gani unakaa kushindana na sidiria huyo si atakua mwanaume dhaifu
 
Domo its either hana washauri wazuri au hajipangi. Kama uliwahi kusikia ile interview yake clouds wakati ana admit in public kuwa alicheat mpaka akazaa na Hamisa. Afu kumsikia leo anachosema ni vitu viwili tofauti.

Ile interview hakutoa accusation yoyote kwa Zari ila zaidi aliomba msamaha kwa Zari. Leo anakuja na lawama kejeli kwa Zari. Alitakiwa ajue jinsi cha kutamka sio majivuno wala kebehi.

Vilevile kutamka neno Peter katika maelezo yake yanaweza kuleta balaa hasa kwa familia ya Peter wakati hata kama mahusiano yalikuwepo baina ya Peter na Zari yalikuwepo kabla ya huyo Domo na kama waliendelea basi ni kupasha kiporo tu. N moreover unadate mdada ana watoto watatu kabla hujaanza kumtoboa wewe unategemea nn??

Kila mara nikisikiaga hizi drama za Domo najiuliza hawa team Domo wanajiulizaga swali moja kama una ndugu yako aoe au adate na mdada mwenye watoto watatu ungekubali? Au familia yako ingeridhia? Plus mwisho wa siku Zari ni golddigger tu.

Nimemfahamu toka early 2000s huko 256 wakati mapenzi moto na Rich gang yote sio Ivan tu. Katika vitu Domo asipokuwa makini navyo ni kukusea kuchanga karata zake vyema kwa Zari. Asipokuwa makini atakuja kulia siku.
 
NImefurahi Diamond ameelewa kuwa Mwanamke akiachana na Mwanaume hutumia watoto kumuumiza mwanamme, SASA AJUE PIA MAMA YAKE ANAMTUMIA YEYE MOND KUMUUMIZA BABA MONDI, it is just a straight line mathematics MOND should know and behave maturely now.
 
NImefurahi Diamond ameelewa kuwa Mwanamke akiachana na Mwanaume hutumia watoto kumuumiza mwanamme, SASA AJUE PIA MAMA YAKE ANAMTUMIA YEYE MOND KUMUUMIZA BABA MONDI, it is just a straight line mathematics MOND should know and behave maturely now.
Hili mbona liko waziii lakini ndo vilee mzeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mondi aisee noma sana nimetokea kumkubali zaidiii
 
NImefurahi Diamond ameelewa kuwa Mwanamke akiachana na Mwanaume hutumia watoto kumuumiza mwanamme, SASA AJUE PIA MAMA YAKE ANAMTUMIA YEYE MOND KUMUUMIZA BABA MONDI, it is just a straight line mathematics MOND should know and behave maturely now.


Nimeota bi Sandra na mzee Abdul wamerudiana
 
Hivi kumbe hiyo ni sifa kwa mama mwenye watoto watano[emoji134][emoji134][emoji134]
Lord have mercy.
Staajabu na wewe
Yule hata hafikirii watoto wataonaje..itawaathiri vipi.
Hajali hilo
Bado waje kuona ile video mama anajipiga puchu huku msitu upo nje..ashukuru hakunyoa kwenye ile video.
We mtu ana ushosti na wakina vera unatarajia aweje?
 
Duuh Robert Marley Naye katisha sana
 
Staajabu na wewe
Yule hata hafikirii watoto wataonaje..itawaathiri vipi.
Hajali hilo
Bado waje kuona ile video mama anajipiga puchu huku msitu upo nje..ashukuru hakunyoa kwenye ile video.
We mtu ana ushosti na wakina vera unatarajia aweje?
Yule ni mdangaji na usishangae kuwa new husband ana business ya kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…