Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Sasa unamfananisha Peter na Diamond? Peter kamzidi Diamond karibu kila kitu kuanzia pesa hadi umaarufu ila Diamond kamzidi Peter vitu vichache sana kamzidi umalaya na followers wa instagram tu
Chaaaaaaaaa
 
Ile familia ina shida sana. Yani pamoja na hela na umaarufu ila uswahili umegoma kabisa kuwatoka.
Wametoka tandale ila utandale haujawatoka bado
Zari alileta uzungu wa ku interio design Madale. Amemaliza mwenyewe apumue anaambiwa bibi shush nyumba ni yangu hii.
 
Kaombe kasinenepeane katakua kama furushi
Kana ngozi mbaya mno

Kwenye hili namuona misa anavyochekelea tu kipindi kile nilimtetea humu na raynavero hebu mtag aje amsome bi tukinao kwanza

Aliniudhigi kutukana wanawake wenzie kisa kiboro cha domo kibenten halafu misa mtoto wa uswazi akampindua mpaka leo anahaha tu,,, kweli mwanamke jeuri mchukulie bwanake tu na kuzaa nae kabisa usistaduu wote kwishnei
 
Kilichomuuma zaidi ni kuwa mtoto aliingilia kitanda kile kile anchotolea yeye ma style
 
Hamisa alimkomesha tukinao.
Hakutegemea kabisa na yale matusi akamtukana bure
 
Naona ukiachishwa kwenda gym kwa trainer wako 2022 hahahaha..nakupa pole mapema kabisaa hahaha
Labda kama unataka hiki kitambi kiendelee kushuka hata nikivaa shanga nikilala chali zisionekane sababu ya tumbo mume mtarajiwa
 
Heee nilikua sijui kumbe yale ni magari ya Zari!(sio ya kingbae wala ginimbi aisee) Huyu mama ana hela kila siku anabadili magari bei kubwa kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anadate kibenten kipya asa hivi..anakigichaficha wee watu wakaki expose ..kijamaa kinavinjari kila siku kinabadili magari ya zari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…