HahahahaKuna picha moja Zari alikuwa kwenye swimming pool na shemeji yake maji yakonyesha Kama ameshikwa kalio
Diamond alipaniki Hadi akaipost na maneno ya kuchukia baadae akaja kugungua picha ilipigwa na mke wa jamaa akaifuta post na kuomba msamaha
Alafu eti ndo akute amechitiwa live akae kimya? Sio mtu mwenye kaba yule lazima angeropoka
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa kajichanganya SanaHivi ule msamaha wa clouds ulikuja baada ya jamaa kuchitiwa tena na wanaume wawil eeh
Tupo juu lakini bi tukinao ametuzidi, kwingine hadangi anatoa charity
Kuna picha moja Zari alikuwa kwenye swimming pool na shemeji yake maji yakonyesha Kama ameshikwa kalio
Diamond alipaniki Hadi akaipost na maneno ya kuchukia baadae akaja kugungua picha ilipigwa na mke wa jamaa akaifuta post na kuomba msamaha
Alafu eti ndo akute amechitiwa live akae kimya? Sio mtu mwenye kaba yule lazima angeropoka
Watoto 5 lakini bado analipa, wakati wengine hata mmoja hakuna lakini hata wakutwambia sogea tuishi hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila zari ana nyota jaman wakat yupo na mond kila mara tunaombwa tupige kura kwenye matuzo mbalimbali dunian but now zzzzzzz kimyaa jamaa akaona atoke na hii japo atrend
Kazoea kurambwa miguu na kina hamisa wakimlilia shida zao safar hii kakutana na kisiki cha mpingo[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa kajichanganya Sana
Nadhani kilimuuma Diamond Ni baada ya kusitisha kutoa matumizi ya watoto alitegemea Zari angereact kwa kupanic na kumbembeleza
Sasa miezi 3 hatumi hata Mia alafu mwenzie anaona fresh tu maisha yanaendelea na watoto Wako vizuri
Alichokifanya kaona hakikuleta impact aliokusudia na hio imemuuma sana
Na ndio kwanzaaaa kina peter wanamtamanWatoto 5 lakini bado analipa, wakati wengine hata mmoja hakuna lakini hata wakutwambia sogea tuishi hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtenda akitendewa uhisi kaonewaHata mie nashangaa, kwahiyo nayeye ndiyo akaacha kuwapeleka nyumbani kwake mademu zake wanatushosha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumgonga na kusepaNa ndio kwanzaaaa kina peter wanamtaman
ya ndani muwaachie wenyewe, sikilizeni then kaeni kimya. ukishakuwa ndani ya mahusiano mwanamke kugongwa hii ipo sana ila ni mara chache mnoo mwanaume anaweza kiri mke wake kugongwa nje maana itaonekana kuna madahifu mahala, kusema muongo ni kama vile unaamini huyo zari hawezi gongwa nje!!Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
Na kumsababishia mond machunguKumgonga na kusepa
Hapo sasaWameshupaa mdangaji mdangaji,mara malaya hivi kuna mdangaji asie malaya?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndio kwanzaaaa kina peter wanamtaman
nilichojifunza hapa kwa sasa watoto wake wanalishwa sumu balaa kama ambavyo yeye alilishwa na mama yake dhidi ya babayake.. anapaswa kujua true color of women
Mtenda akitendewa uhisi kaonewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madanga menzie hahaa haaa haaaKazoea kurambwa miguu na kina hamisa wakimlilia shida zao safar hii kakutana na kisiki cha mpingo
Mbona unatumia nguvu nyingi kubisha,Zari alikuwa hajatulia
ya ndani muwaachie wenyewe, sikilizeni then kaeni kimya. ukishakuwa ndani ya mahusiano mwanamke kugongwa hii ipo sana ila ni mara chache mnoo mwanaume anaweza kiri mke wake kugongwa nje maana itaonekana kuna madahifu mahala, kusema muongo ni kama vile unaamini huyo zari hawezi gongwa nje!!
Watu kusema sio sababu je kama mtu kaamua tu kumchafua, lazima udhibitishe mkuuHahaha ila yule trainer watu wengi walisema