princess13
Senior Member
- Aug 30, 2018
- 100
- 112
Diamond is hurt with Zari moving onUtoto tuu ukiumizwa,unajitahidi kumuonyesha mwenzio hujaumia 😂😂😂tena unajitahidi saaana kumuonyesha she/he is worthless..hafai hata kwa kachumbari...lol..get over it Diamond una mchumba huu sio muda wa kuongea ishu za Zari,jinsi unavyoendelea kumuongelea ndio inaonyesha jinsi alivyo kichwani mwako, unamsema ana cheat,wewe mpk nyumbani kwako kukaitwa Madale Guest house???!!!!??
Zari ndo kiboko ya DaiDiamond anachoumia kimoja tu. Alijua Zari atamng'ang'ania kama ile misukule yake mingine.
Kakutana na mtu mpaka video ya uchi anayo ahangaike na pizza delivery boy inahusu?
We hujamsikiliza vzr,kasema hakumind kwasabu na yeye alikuwa anagonga Hamisa,ila km mwanamke amemkosea atamfanyia vituko mpk mwenyewe ataondoka,ndivyo ilivyokuwa ni kwamba Zari baada ya kuona mhhh vituko vimezidi ikabidi amtwange na black rose,lkn mwenzie alikua anamtafutia sbb bt Zari akawahi kusepa
Let bygone be bygonesmimi nasikitia watoto,mjue wale sio tandale type-wanalelewa kizungu-mbele ya safari wanakuuliza Daddy where have you been??mara wanakupotezea kijumla-nimeona mifano hii kwa watu wa karibu sana ndio maana i fear the worst.Diamond anatakiwa akwaruzane na akina mobetto ambao ukitokea tuu mbele yake ana melt-but to Zari who has exposure and has seen everything hapa he will lose the kids
Mpo tayari wadau kusherekea
Harusi harusi ya Bi. Zarina
#onemorenight
Halafu sasa ukiona mwanaume kasema ujue yamefika kooni wanaume si waongeaji pindi mkiachanaNinaamini ni kweli mwanaume kamili hawezi kufunguka kama hivyo kama halijamgusa. Ila naona kuna shida kwa prince maana jamaa hamzungumziagi kabisa zaidi ni Tiffah tu basi
Mimi namuamini daimond adanganye,aseme ukweli vyovyote nimechagua kumuamini,daimond sio mtoto mdogo kiasi cha kukubali kutengana na Zari kirahisi hvyo wakati angeweza muoa bila shida yoyotee...ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo
Zari kaongea sana and people choose to believe her..ukute hata yeye alikua anadanganya
Hayo yote yangeweza kusettle if and only if wangekaa pamoja so nimemuelewa daimond!!
Ila unaweza kutangaza kumuacha mtu yeye asitoe response yoyote hashtuki, hajibu tuhuma kweli ukawa mshindi???Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
ona aibu!..tumia ubongo
Diamond ni mungu wako? punguza mahaba ya kukufuru
Diamond mwongo, kama umeamua kuamini haukatazwi lakini kumbuka unaamini uongo hata kama utaupaka rangi uitwe ukweli
Unaowamini wote miungu yako!
Tumia wewe ubongo kufikiri niache nifikiri nijuavyoo...!!!
Endeleza chuki zako kwa daimond!!
Kwanza kwa imani yangu Mungu hafananishwi....mjajwjwkwvjkfdls weee
Bwana unanchosha na gazeti refuhakuna mahali nimesema namchukia diamond, kikubwa kwa wote unaowaamini use right senses
Jamaa kakuandalia logic na statement zinazopingana
mswahili yule Tangu awali angejua mkewe analiwa na P.square asingekaa kimya, ni mswahili yule, anaweza kukuua kwa manenon
Mwanamke aliyecheat ..hawezi kuwa wife material
pole
Kananinooo wewe unayesema ametajirika kwa kutumia viungo vyake.Njoo nikufi.re nikulipe naona unatafuta bwana.
KaElton Joni wewe usemaye aketajirika kwa kutumia Viungo.Njoo nikufi.re nikulipe naona unatafuta bwana.
Bwana unanchosha na gazeti refu
Mpiga pasi wa Diamond hahaha
Mpiga pasi wa Diamond hahaha
Tanasha hana nyota
Braza anatapatapa