princess13
Senior Member
- Aug 30, 2018
- 100
- 112
Nimegundua Dai ni gentleman sn,Bibie alivyokua anajishebedua mara BBC mara vijimichambo vya hapa na pale,Dai kimyaaa,sasa ameona ni wakati sahihi na yy kutoa ya moyoni,muacheni tu kwakweli,tushagundua Zari ni mdangaji tu kama wengine sema yeye ni mzee wa underground