princess13
Senior Member
- Aug 30, 2018
- 100
- 112
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]Oh ok
Sio sikumsikiliza vizuri.. sikuisikiliza kabisa bali vipande hivyo vingine vichache.. watu walivyochomoa akidanganya juu ya Zari ndio nilisikiliza. Na wala sitamsikiliza hata nyimbo yake navita
Kwa kweli hata huko kwao dabliyusibii wanasema kaka anaumia sanaaaa. Hakutegemea Zari kumove on haraka hivyo. Alitegemea kutakua na zile on and off za kutosha mpaka Zari ashike adabu ila tukio moja tu na Zarina kasepa mazimaZari ndo kiboko ya Dai
Deeep deeep down kaumia mnoo
Maneno mengi yale ni defense mechanism
Kumbe babe una connection na watu wa wcb. Kweli upo juuuu mawinguni.Kwa kweli hata huko kwao dabliyusibii wanasema kaka anaumia sanaaaa. Hakutegemea Zari kumove on haraka hivyo. Alitegemea kutakua na zile on and off za kutosha mpaka Zari ashike adabu ila tukio moja tu na Zarina kasepa mazima
Sio babe... nina rafiki yangu ana urafiki na watu wa dabliyusibii ndo umbea tunaupataga huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe babe una connection na watu wa wcb. Kweli upo juuuu mawinguni.
Tuache utani aise best, diamond hapa alipoteza chombo hata kama umri umeenda Zarina bado ni mashine hasa...Kwa kweli hata huko kwao dabliyusibii wanasema kaka anaumia sanaaaa. Hakutegemea Zari kumove on haraka hivyo. Alitegemea kutakua na zile on and off za kutosha mpaka Zari ashike adabu ila tukio moja tu na Zarina kasepa mazima
Mzuri kweli sema Diamond hachukuagi kazi mbovu mbovu.Tuache utani aise best, diamond hapa alipoteza chombo hata kama umri umeenda Zarina bado ni mashine hasa...
Hizi picha huwa zinanipeleka mbali sana, ukicheki hilo paja sasa akikuvulia si ndio unamwaga nje kwanza kabla ya kuingia ndani..
Nakubaliana na wewe diamond huko aliko anaumia sana..View attachment 1081147View attachment 1081148
Mzuri kweli sema Diamond hachukuagi kazi mbovu mbovu.
Hamisa mzuri bwana ule mdomo tu ndo hauelewekagiMbona hamisa kazi mbovu sasa...
Si hapa mwisho mwisho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haaaaa hakumpenda? Angezaa mpaka watoto wawili na nyumba juu, atulie tu sindano imwingie vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anadai hakumpenda kihivyoo lakin kamuhonga nyumba wakati kina wema wameambulia iPhone tu
Afadhali ya zari anayedanga na kuhongwa nyumba kuliko anayezini miaka hata kumi na bwana mmoja tena kwenye nyumba ya kupanga
Haaha sawa best ni kazuri kiasi, ila kwa wanawake alio date nao Zari was something, very beautiful hata kama ni deki unatandaza kuanzia kwenye unyayo, maskio, kitovu, makwapa na papuchi yenyewe...Hamisa mzuri bwana ule mdomo tu ndo hauelewekagi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama kazi rahisKama kuwa gold digger ni kitu rahisi na ukadig hayo magari na majumba nenda na ww ukawe gold digger
Alizaa haraka haraka akajua ndoa hii hapa alidhani daimond ni ivan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamuache mama wa watu ale bata zakeNa ndicho kinachowauma wengi humu.. Napita tuuuuu.
Labda alikuwa karogwaSasa alipoenda clouds kudai yupo radhi kuomba msamaha kwa magoti mpk South ilikuwa ni kiki au nini!
inaelekea siku ukijua umegongewa utajinyonga...umalaya ni tabia haijalishi unamkojoza au laa..kuna dada alikua anakimbia kwa mumewe kila weekend..maana jamaa akianza asubuhi ni kutwa nzima..still dem alikua na mabwana nje
Sawa babe. But hasiishie kukupa ubuyu tu akupe na michongo ya kupata pesa halali.Sio babe... nina rafiki yangu ana urafiki na watu wa dabliyusibii ndo umbea tunaupataga huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]