Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Hivi king bae si amuhamishie kwake na ile timu ya basket jamani,kwanini mwanamke wako asimangwe tena we milion na mwanamke bosslady
Nacheka leo mapovu ya team zari
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo ndipo naposhangaaa huyo kingbae why asimhamishie kwake kutwa kumdhalilisha ukute kibe10 hvyooo...!!!

Team Zari Leo wanaumwaaa...panadol km zote kuna rafiki yangu Leo hana raha na jana!!!

Mi nacheka maana kucheka kwa Zamuuu!!c


Bibi side chick with 5 kids pooooo!!!!
 
hii yote ni kutaka kumringishia Dai halaf kakuta mchiz mwenyewe hata habari hana,huyu mwanamke tukisema malaya watu mnapanic,atamegwa then atatemwa atapata basha mwingine ataendelea kumlingishia Kingbae wa wake a sasa kwamba wewe sisi chochote nimepata goma jingine,nako pia atamegwa na kutemwa mwisho wa siku 50 hii hapa......highest stage of insane
Ahsante kakaa!!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo ndipo naposhangaaa huyo kingbae why asimhamishie kwake kutwa kumdhalilisha ukute kibe10 hvyooo...!!!

Team Zari Leo wanaumwaaa...panadol km zote kuna rafiki yangu Leo hana raha na jana!!!

Mi nacheka maana kucheka kwa Zamuuu!!c


Bibi side chick with 5 kids pooooo!!!!


Hahahahahah eti kucheka kwa zamu
Wapi trainer
 
Hahahahahah eti kucheka kwa zamu
Wapi trainer
[emoji3][emoji3][emoji3]eehh!binamu,alianza kuchekwa Peny,akaja jokate,akaja Wema akaitwa mgumba matusi na kejeli ,akaja Hamisaa akaona rangi zote[emoji3][emoji3][emoji16]

Sasa mama watano East African Cougar, kungwi la udangaji,mpk kwa matreina...what a messss....!!!poooohh!!!

[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]kiukweli mmefurahi siwezi kua mnaafiki na watu wanajua hilooo!!!

Kucheka kwa zamuu
 
Wanaomlaumu dai na kumuita mjinga Mara sijui wivu naona wanamuonea ,Mara nyingi wanaume mkiachana wasiri sana kuongea udhaifu au chanzo cha kuachana hua wanakaa kimyaa...ila sisi wanawake jamani tunapendaga ushindi wa mezani mnooo...tukiachwa au kuacha sisi ndo wa kwanza kuchonga tutaongeaa mpk mwisho,mfano Zari,kaongea BBC,CNN([emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]),Kenya mpk sijui wapi!diamond kakaa kimyaaa hajajibu

Watu wakawa wanammisjudge diamond Leo kaongea kidogooo tu,nna hakika ktk100 kaongea 2% East Africa imesimama,siku akiongea 20% Zari hana pa kujifichaaa....


Mnitukane mnione hater but huo ndo ukweli wenyewe mjikaze sio kwa ubaya

Kwa uzuri na usmart alionao Zari nna hakika diamond asingekubali amteme kirahisi na ndo maana alimuambia njoo Tz waishi wote Dada akaona atamkosa trainer[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!

Poleni jamani....mjikazeeee!!
 
Ila unaweza kutangaza kumuacha mtu yeye asitoe response yoyote hashtuki, hajibu tuhuma kweli ukawa mshindi???

Zari kasema wanaomuamini dee basi nao ni stupid kama dee

Unachouliza hapo jioneee aibu kwanza then pita huko.
 
Acha tuinjoii maisha mafupiii!!kucheka kwa awamuu[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Nileteee Niletee 😀😀😀😀
Huu hapa ziko nyingi hii tu ndo ilinkoshaa...ya Leo nimeenda nimekuta kafuta ila ndo ilikua konkiii
Screenshot_20190425-230237.jpeg
IMG_20190425_230412_464.JPG
IMG_20190425_230434_732.JPG
IMG_20190425_230449_411.JPG
IMG_20190425_230504_075.JPG
IMG_20190425_230522_519.JPG
 
Wanaomlaumu dai na kumuita mjinga Mara sijui wivu naona wanamuonea ,Mara nyingi wanaume mkiachana wasiri sana kuongea udhaifu au chanzo cha kuachana hua wanakaa kimyaa...ila sisi wanawake jamani tunapendaga ushindi wa mezani mnooo...tukiachwa au kuacha sisi ndo wa kwanza kuchonga tutaongeaa mpk mwisho,mfano Zari,kaongea BBC,CNN([emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]),Kenya mpk sijui wapi!diamond kakaa kimyaaa hajajibu

Watu wakawa wanammisjudge diamond Leo kaongea kidogooo tu,nna hakika ktk100 kaongea 2% East Africa imesimama,siku akiongea 20% Zari hana pa kujifichaaa....


Mnitukane mnione hater but huo ndo ukweli wenyewe mjikaze sio kwa ubaya

Kwa uzuri na usmart alionao Zari nna hakika diamond asingekubali amteme kirahisi na ndo maana alimuambia njoo Tz waishi wote Dada akaona atamkosa trainer[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!

Poleni jamani....mjikazeeee!!

Kucheka kwa zamuuuu acha tucheke tu jamani na tunasubiri part two maisha ya mtandaoni hayaa watu wanaona eti tajiri kwa pic za insta na magari hayana plate namba
 
Back
Top Bottom