Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Bina nna rahaaa miyeeee!Alizaa haraka haraka akajua ndoa hii hapa alidhani daimond ni ivan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bina nna rahaaa miyeeee!Alizaa haraka haraka akajua ndoa hii hapa alidhani daimond ni ivan
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo ndipo naposhangaaa huyo kingbae why asimhamishie kwake kutwa kumdhalilisha ukute kibe10 hvyooo...!!!Hivi king bae si amuhamishie kwake na ile timu ya basket jamani,kwanini mwanamke wako asimangwe tena we milion na mwanamke bosslady
Nacheka leo mapovu ya team zari
Ahsante kakaa!!!!hii yote ni kutaka kumringishia Dai halaf kakuta mchiz mwenyewe hata habari hana,huyu mwanamke tukisema malaya watu mnapanic,atamegwa then atatemwa atapata basha mwingine ataendelea kumlingishia Kingbae wa wake a sasa kwamba wewe sisi chochote nimepata goma jingine,nako pia atamegwa na kutemwa mwisho wa siku 50 hii hapa......highest stage of insane
Kweli kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]balaa usiususe wakati bado unaupenda utakufa kwa pressure
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapo ndipo naposhangaaa huyo kingbae why asimhamishie kwake kutwa kumdhalilisha ukute kibe10 hvyooo...!!!
Team Zari Leo wanaumwaaa...panadol km zote kuna rafiki yangu Leo hana raha na jana!!!
Mi nacheka maana kucheka kwa Zamuuu!!c
Bibi side chick with 5 kids pooooo!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3]eehh!binamu,alianza kuchekwa Peny,akaja jokate,akaja Wema akaitwa mgumba matusi na kejeli ,akaja Hamisaa akaona rangi zote[emoji3][emoji3][emoji16]Hahahahahah eti kucheka kwa zamu
Wapi trainer
Dai kaongea kwa uchungu wa kugongewaMkwe sijui kwa nini dai kanifurahisha na zile interview[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji4]!!!!!
Kunauma kugongewaa!!!halafu na trainer pale ndo panauma haswaa!!!![emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]Dai kaongea kwa uchungu wa kugongewa
Ila unaweza kutangaza kumuacha mtu yeye asitoe response yoyote hashtuki, hajibu tuhuma kweli ukawa mshindi???
Ha haa..Mange Kasemaje?
Ngoja nkuletee kaka usikondeeMange Kasemaje?
Kumbe wewe ni ke mkuu. Tunashukuru kwa kuweka rekodi sawa. Maana maneno yalikuwa mengi sanaKunauma kugongewaa!!!halafu na trainer pale ndo panauma haswaa!!!![emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]
Hahaaa!unajua me?kwa niniKumbe wewe ni ke mkuu. Tunashukuru kwa kuweka rekodi sawa. Maana maneno yalikuwa mengi sana
Hehee.. Yaani Zari ni Homa ya East Africa
Ulikuwa hutaki kuweka wazi jinsia yako mkuuHahaaa!unajua me?kwa nini
Huu hapa ziko nyingi hii tu ndo ilinkoshaa...ya Leo nimeenda nimekuta kafuta ila ndo ilikua konkiiiNileteee Niletee 😀😀😀😀
Wanaomlaumu dai na kumuita mjinga Mara sijui wivu naona wanamuonea ,Mara nyingi wanaume mkiachana wasiri sana kuongea udhaifu au chanzo cha kuachana hua wanakaa kimyaa...ila sisi wanawake jamani tunapendaga ushindi wa mezani mnooo...tukiachwa au kuacha sisi ndo wa kwanza kuchonga tutaongeaa mpk mwisho,mfano Zari,kaongea BBC,CNN([emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]),Kenya mpk sijui wapi!diamond kakaa kimyaaa hajajibu
Watu wakawa wanammisjudge diamond Leo kaongea kidogooo tu,nna hakika ktk100 kaongea 2% East Africa imesimama,siku akiongea 20% Zari hana pa kujifichaaa....
Mnitukane mnione hater but huo ndo ukweli wenyewe mjikaze sio kwa ubaya
Kwa uzuri na usmart alionao Zari nna hakika diamond asingekubali amteme kirahisi na ndo maana alimuambia njoo Tz waishi wote Dada akaona atamkosa trainer[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]!!!
Poleni jamani....mjikazeeee!!