Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square


Halaf nyumba umepewa unaishi na watoto wako wotee bado unaleta wanaume kulala kwenye hiyo nyumba
 
unless u don't understand women.....keep growing son!!
 
Zari una mapesa,deal na diamond properly..iwe fundisho kwa wote wanaochafua image za ma ex wao...LOLS.

kama ana kosa kisheria mpeleke mahakamani wala usimtusi humu mtandaoni,utajidhalilisha tu lol
"Bitch is dying for shame"
 
Picha zipo sana alizopiga na peter ila za kawaida tu
 


Shogaaa nasubiria daimond siku amwage kuhusu nillan,hayo mengine tushayongelea sana humuuu haya king bae abebe timu ya basket
 
Alimkana mwanae ila akamkubali Nilan ambaye sio damu yake,wanaume tunakufa mapema sana kwa mambo mengi nyie wanawake hatari sana....hivi unajua kwa nini Mond 99% akitaja watoto wake ana muongelea tiffah tu?

Kaka tuwekee hiyo link tuone upya
 

Atapike atolewe kwenye nyumba na ya nillan yamwagwee
 
Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
Nimeangalia Interview yote na Zari aliuliza na kusema vitu viwili kwenye insta yake lakini hakuna mahala amekanusha hiyo habari kwahiyo acha kujifanya msemaji wake,,, usiwe unaegemea upande mmoja kuna time huyo demu alimfananjsha mchizi na mbwa mbona jamaa alikausha ila leo kaguswa yeye naona mashabiki wake mnatetema kumbuka Zari yeye binadamu na ana Mbunye kama wewe sishangai kuchepuka
 
Personal trainer plus peter na bado diamond hahahahaa happy Ana miaka 38, embu tuwe serious zari ni wema wa uganda

Ha ha ha ngoja embu fanya tafiti mademu wa hapa bongo wanaeza kuwa na wanaume wangapi kwa kipindi cha miaka 4, utachoka na utakuja kugundua zari anajitunza mda wote kwenye relationship anahisiwa tuu kutoka na wanaume wawili seriously?hesabu kwa diamond sasa
 
Ila wanaume na sisi mbwaaa..... Sasa Peter alifuata nini paleeee!!!Β‘!!!!!!!!!!!!!!???????
 
Leo diamond kajua kunipa rahaaa,sijui team zari wanaharishaje leoo,,na zari endelea kiherehere cha kumjibu dai soon atauamwaga ya kuhusu nillan si unaona anaongelea tifa tu,ulimcheka hamissa leo wapii tumejua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Inaelekea Diamond anamtaka Tiffa amlee mwenyewe sasa Tiffa bila Nilan dadaa si staumbuka?
 
Diamond ni mwanaume wewe, mwanamke hatakiwi kucheat, hakuna cha kuhisiwa wala nini sema hukuskiliza interview, Diamond kakamata Zari akichat na Peter jamaa anashukuru kwa penzi motomoto..hehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…