Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 28
sijakuelewa mkuu wangu,kwani ni yeye anakaribisha au ni sisi tunamkaribisha,mi naona anakaribishwa kama sisi tulivyokaribishwa.tofauti ni kwamba sisi hatukushangiliwa kama yeye.
DDD memba tangu 2009 ila alidisappear kidogo ndio karudi.
Ila duh, naona hii thread inaelekea ndiko siko. Ngoja nitoke, niliingia kichwa kichwa