Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mpeni mimi....πThmtaftie pisi ....abaki forever
Nyie wazungu hamna???Nyie watanzania huwa mna vigezo vyenu ktk mpira wa miguu
Umetusemea kundi kubwa π, Have pepsi ya baridi please.....Hivi Diarra hakuja na mke Tanzania?
Hahahahaha...mie sio mzungu ila sio mtanzaniaNyie wazungu hamna???
Niombe msamahaa!Mbna naskia we ushakua occupied na gentamicine ( popoma)
Hahahahaha..kumbe uko na PopomaNiombe msamahaa!
Huyo yupo kwenye ignore list yangu tokea kitamboHahahahaha..kumbe uko na Popoma
Hahahahaha...usifanye hivyoHuyo yupo kwenye ignore list yangu tokea kitambo
Wakati TFF mchezaji bora wa mwaka huu 2024,atapatikana mwakani 2025, duu TFF bana watakuwa kuna wazee ambao hawataki kwenda na wakatiMlinda mlango wa klabu ya Yanga SC Djigui Diara ametwaa tuzo ya mchezaj bora wa Afrika kwa msimu wa 2023\2024, katika tuzo zilizotolewa nchini Mali. Tuzo hizo maalum zilizotolewa nchini Mali ni kwa wachezaji wa nchini humo wanaocheza ndani ya Bara la Afrika
Diara amechukua tuzo hiyo akiwashinda wachezaji wenzake, Sadio Kanute, Fily Traore, Aliou Dieng na Abdoulaye kanou waliokuwa wakiwania tuzo hiyo. Tuzo hizo maalum hutolewa kwa wachezaji wanaofanya vizuri katika msimu husika.
Ni kweli Diara amestahili tuzo hiyo?
View attachment 3004352
HahahahahaHeading Imekaa kipuuzi, Mtu anaweza kudhani ni mchezaji bora wa Afrika kumbe n mchezaji bora wa Mali anayecheza bara la Afrika.
Kipa Bora sana huyu ππππMlinda mlango wa klabu ya Yanga SC Djigui Diara ametwaa tuzo ya mchezaj bora wa Afrika kwa msimu wa 2023\2024, katika tuzo zilizotolewa nchini Mali. Tuzo hizo maalum zilizotolewa nchini Mali ni kwa wachezaji wa nchini humo wanaocheza ndani ya Bara la Afrika
Diara amechukua tuzo hiyo akiwashinda wachezaji wenzake, Sadio Kanute, Fily Traore, Aliou Dieng na Abdoulaye kanou waliokuwa wakiwania tuzo hiyo. Tuzo hizo maalum hutolewa kwa wachezaji wanaofanya vizuri katika msimu husika.
Ni kweli Diara amestahili tuzo hiyo?
View attachment 3004352
ExactlyKabisa mkuu....Yanga wapewe maua yao kwenye usajili
Kama yeye sitakiHutaki kupata mbegu ya magenius
Na lile tege lake na kibyongo ujiandae vilivyo kukunjwa maana baadhi ya wanawake wanasema mwanaume mwenye utege na ubyongo kama Diara wanawakunja wanawake mpaka wamwage majiπHivi Diarra hakuja na mke Tanzania?