Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nafuatilia game ya South Africa na Mali, kiukweli huu uwezo wa huyu kipa wa Mali si wa kawaida, Nina hakika huu ndio msimu wake wa mwisho kuchezea Yanga.
Namtakia kila la heri huko aendako
Hatimaye Mikoba yake kuchukuliwa na Msheri
Namtakia kila la heri huko aendako
Hatimaye Mikoba yake kuchukuliwa na Msheri