Diarra hapaswi kucheza Yanga, aende Ufaransa

Diarra hapaswi kucheza Yanga, aende Ufaransa

Jana nilijua kabisa kuwa Mali atapigwa vibaya mno,aiseh kumbe nlkuwa cjuwi kuwa majamaa Wanawachezaji wazuri sana tena wakimataifa,nikawa najiuliza mbona kanute hajaitwa? Duh kuja kucheki viungo wa Mali nikasema halali aiseh,Yan pale katikati mchezaji wao mdogo eti ndio yupo Al Ahly
Kwa hii statement yako inaonyesha umeanza kushabikia mpira juzi
Kama ungefuatilia tokea zaman usingewachukulia poa mali
 
Ulaya hawasajili mchezaji mwenye umri wa miaka 30 kutoka Africa.

Kwenye makaratasi ana miaka 28, huyo atulie hana tena nafasi ulaya.

Kibaya kingine kwake, nchi za waarabu hawasajili nafasi za golini mtu asiyetokea mataifa yao na hiyo ni moja ya kanuni zao.
Kwa hiyo Edward Mendy ni anatokea Saudi Arabia kumbe?
 
Ulaya hawasajili mchezaji mwenye umri wa miaka 30 kutoka Africa.

Kwenye makaratasi ana miaka 28, huyo atulie hana tena nafasi ulaya.

Kibaya kingine kwake, nchi za waarabu hawasajili nafasi za golini mtu asiyetokea mataifa yao na hiyo ni moja ya kanuni zao.
Sasa Ufaransa ni waarabu?
 
Jana nilijua kabisa kuwa Mali atapigwa vibaya mno,aiseh kumbe nlkuwa cjuwi kuwa majamaa Wanawachezaji wazuri sana tena wakimataifa,nikawa najiuliza mbona kanute hajaitwa? Duh kuja kucheki viungo wa Mali nikasema halali aiseh,Yan pale katikati mchezaji wao mdogo eti ndio yupo Al Ahly
Na kikosi kilichoanza wawili ndio wanacheza Afrika
 
Kitu usichokijua golikipa anakua Bora Sana kadri umri wake unavosonga so Kwa hiyo miaka 28 anaenda vizuri tu
Hvi Mendy ana umri gani
Ulaya hawasajili mchezaji mwenye umri wa miaka 30 kutoka Africa.

Kwenye makaratasi ana miaka 28, huyo atulie hana tena nafasi ulaya.

Kibaya kingine kwake, nchi za waarabu hawasajili nafasi za golini mtu asiyetokea mataifa yao na hiyo ni moja ya kanuni zao.
Samahani mkuu hvi Mendy yule golikipa wa Senegal sasa hvi anafanya kazi wapi.....?
 
Onana ana kimo gani...ni mfupi kuliko hata diarra.....
IMG_9433.jpeg
IMG_9432.jpeg
 
Jana nilijua kabisa kuwa Mali atapigwa vibaya mno,aiseh kumbe nlkuwa cjuwi kuwa majamaa Wanawachezaji wazuri sana tena wakimataifa,nikawa najiuliza mbona kanute hajaitwa? Duh kuja kucheki viungo wa Mali nikasema halali aiseh,Yan pale katikati mchezaji wao mdogo eti ndio yupo Al Ahly
Una mzaha sana, Mali ndio timu ya taifa yenye wachezaji wengi zile ligi 5 barani Ulaya ndani ya Afcon hii yaani EPL, Bundesliga, La Liga, Serie A pamoja na Ligue 1. Diarra na golikipa #3 Aboubacar Doumbia ndio wachezaji pekee kutoka bara la Afrika ndani ya Mali.

Watu wengi tulifahamu fika SA watakaa sana na mpira ila ubao utasomeka tofauti na possesion yao. Huwezi kushinda mechi ngumu dhidi ya timu kama Mali yenye wachezaji wengi ligi kubwa barani Ulaya halafu unamtemegea Percy Tau akubebe.
 
Una mzaha sana, Mali ndio timu ya taifa yenye wachezaji wengi zile ligi 5 barani Ulaya ndani ya Afcon hii yaani EPL, Bundesliga, La Liga, Serie A pamoja na Ligue 1. Diarra na golikipa #3 Aboubacar Doumbia ndio wachezaji pekee kutoka bara la Afrika ndani ya Mali.

Watu wengi tulifahamu fika SA watakaa sana na mpira ila ubao utasomeka tofauti na possesion yao. Huwezi kushinda mechi ngumu dhidi ya timu kama Mali yenye wachezaji wengi ligi kubwa barani Ulaya halafu unamtemegea Percy Tau akubebe.
Mamaaaa kweli nlkuwa cwajuwi hawa
 
Back
Top Bottom