Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kabisa kabisa.Tatizo hawataki kukubali kwamba wao bado hawajafka pick ya yanga msimu huu wapambane kujenga timu waache wajitafute na uganga mara GSM watashangaa tunawapiga awamu 5 afurulizo
Halafu mganga akamdanganya kwa kumwambia eti aokolee ndani mpira wenye uelekeo wa kutoka nje!! Sijui hakujua kama mganga alikuwa ni mwananchi!!Pin pin camara saa tisa usiku yuko bize kwa mganga.
Nabado akafungwa.Pin pin camara saa tisa usiku yuko bize kwa mganga.