Ipo nyingine hii...nadhani hizi zilikuwa full kambaKuna nyingine ya kiwanja kikubwa cha Mpira wa miguu kujengewa Dodoma kwa Ufadhili wa serikali ya Morroco mpk leo kimya
Hii haikuwa kamba nadhani unajua kuna tarehe fulani ilibadili mielekeo ya vitu vingi hapa nchiniIpo nyingine hii...nadhani hizi zilikuwa full kamba
Uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wenye uwezo wa kubeba mashabiki 15,000 kujengwa Geita
Huu uwanja ulikuwa ujengwe Chato.Kwa hiyo huu mradi uko hatua gani labda utujuze mdau
Aulizwe aliyepeleka eapoti ambayo wasukuma wanaanikia mpunga kuleKwa hiyo huu mradi uko hatua gani labda utujuze mdau
Wenye maboti yao wanaweza kuupenda mradi wa aina hii kweli?Haikuwa uongo, walipanga kwa kushirikiana na mwekwezaji toka misri. Janga la corona lilisababisha mradi kutofanyika, kuna sehemu toka tegeta hadi Zanzibar in km 32 tu.
Sidhani, watafanya kila mbinu kuzuia kwani km 32 hats daladala na tax zinaweza kwendaWenye maboti yao wanaweza kuupenda mradi wa aina hii kweli?