Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Delegate

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
331
Reaction score
201
Ndugu wana diaspora,

Naona inakuwa ngumu sana sisi tulioshi nje ya Tanzania kwa miaka mingi kurudi na kuanza new life. Mnafanyaje mbona wengine tumeshindwa?

Nina rafiki zangu watatu walirudi kwa wakati tofauti wamekufa baada ya kuishi Tanzania kwa muda mfupi. Tupeane mbinu how to start.

Kwa mtazamo wangu naona kitu kinaitwa mid setup ya kwamba ukiondoka Tanzania na kuishi nchi nyingine miaka mingi ile mind setup inabadilika na ukirudi inabidi ubadilishe tena mind setup iwe kama ya watanzania. Hatari ni pale unarudi older than 40 years unaweza kufa on the process.

Tupeane ushauri tafadhali
 
Tatizo la nchi yetu sasa hata mwelekeo haujulikani! Vilevile ni vigumu kuishi kwa ukweli bila kuibia watu, kutoa rushwa, mizegwe... lakini kama ni familia issue rudi tu kwani damu ndito kuliko maji
 
rudi tu bongo kwa income ya 1.5m per month unaish vizuri sana

ukiweza kuwa na mbinu za kuipata hiyo kwa mwezi utaishi vizuri tu
Aisee...! Mkuu unajua watu wakirudi huwa wanataka kuishi standard walizozoea, sio kwa kujifanyisha au kujiona ndio hali halisi. Sasa hapa Tz kuishi kwa standard ulioizoea first worldni gharama sana, 1.5m haitoshi. Inabidi u-downgrade kidogo na hapa ndio pagumu.
 
Aisee...! Mkuu unajua watu wakirudi huwa wanataka kuishi standard walizozoea, sio kwa kujifanyisha au kujiona ndio hali halisi. Sasa hapa Tz kuishi kwa standard ulioizoea first worldni gharama sana, 1.5m haitoshi. Inabidi u-downgrade kidogo na hapa ndio pagumu.

wanakosea jambo dogo sana...

kama uliishi mbele miaka 10 unahitaji sio chini ya mwaka mmoja kujiandaa kisaikolojia, ushauri na utaalamu wa kimazingira kuja kuanza upya

hii haijalishi kama umerudi na pesa au kapa akili lazima ijiandae tena kuikabili ile harufu pale feri
 
Naomba kumtakia kheri ya Mwaka Mpya Diaspora kinganganizi aliyenifundisha kila chaka mkuu Copenhagen DN Pita hapa!

Copenhagen DN
Mkuu Benny ulipotea Sana.

Mimi kurudi homu nikutembelea tu kwasasa. Ila mkakati wangu Ni kubeba boksi Kama Sina akili nzuri Hadi 2020 Happ nitakuwa nimesevu balaa Na nikichukua namkopo juu itakuwa balaa.

Kingine natamani sana kwenda kuishi Australia.

Nilikuwa bongo majuzi Ni kwetu ndio I'll watu wanaishi kimungumungu Na kubahatisha. Nchi haina dira, sheria ziko kwenye makaratasi, uonev u. Watu hawatunzi muda.
 
Tatizo la nchi yetu sasa hata mwelekeo haujulikani! Vilevile ni vigumu kuishi kwa ukweli bila kuibia watu, kutoa rushwa, mizegwe... lakini kama ni familia issue rudi tu kwani damu ndito kuliko maji

Unamaanisha nini haswa unaposema mwelekeo haujulikani!?
 
Mkuu Benny ulipotea Sana.

Mimi kurudi homu nikutembelea tu kwasasa. Ila mkakati wangu Ni kubeba boksi Kama Sina akili nzuri Hadi 2020 Happ nitakuwa nimesevu balaa Na nikichukua namkopo juu itakuwa balaa.

Kingine natamani sana kwenda kuishi Australia.

Nilikuwa bongo majuzi Ni kwetu ndio I'll watu wanaishi kimungumungu Na kubahatisha. Nchi haina dira, sheria ziko kwenye makaratasi, uonev u. Watu hawatunzi muda.


Salama bro mihangaiko tu nafurahi kukuona tena upo poa...

Beba Box save money...watu wanatishana na habari za Lemutuz everyone has its own story

Bongo nyumbani panaumiza sana kama wewe sio mchungaji au mwanasiasa sijui venye unaishi ila hiyo safari ya Australia umenitetemesha pia hapa
 
wanakosea jambo dogo sana...

kama uliishi mbele miaka 10 unahitaji sio chini ya mwaka mmoja kujiandaa kisaikolojia, ushauri na utaalamu wa kimazingira kuja kuanza upya

hii haijalishi kama umerudi na pesa au kapa akili lazima ijiandae tena kuikabili ile harufu pale feri
Mkuu maisha hayana rehersal, unawsza kupata ushauri na utaalamu wote ukija kwenye reality ni tofauti kabisa. No matter what unahitaji adjustment fulani na flexibility kichwani kwako. Nchi ngumu hii kwa mtu anaekuja kuanza wewe acha tu.
 
Mkuu maisha hayana rehersal, unawsza kupata ushauri na utaalamu wote ukija kwenye reality ni tofauti kabisa. No matter what unahitaji adjustment fulani na flexibility kichwani kwako. Nchi ngumu hii kwa mtu anaekuja kuanza wewe acha tu.

Hapo kwenye "nchi ngumu hii"

nakuunga mkono asilimia mia sijui tufanye nini watoto wetu wasiishi hivi wazee wetu walivyotuachia
 
Mkuu nami nipeni dira nichomoke aiswe yaani natamani sana nikawe hata muokota makopo nipe process..
Mkuu Benny ulipotea Sana.

Mimi kurudi homu nikutembelea tu kwasasa. Ila mkakati wangu Ni kubeba boksi Kama Sina akili nzuri Hadi 2020 Happ nitakuwa nimesevu balaa Na nikichukua namkopo juu itakuwa balaa.

Kingine natamani sana kwenda kuishi Australia.

Nilikuwa bongo majuzi Ni kwetu ndio I'll watu wanaishi kimungumungu Na kubahatisha. Nchi haina dira, sheria ziko kwenye makaratasi, uonev u. Watu hawatunzi muda.
 
Aisee mie naogopa kuumwa,ningekua mzima na sina hayo maradhi niliyonayo ningerudi.Tanzania kuna fursa nyingi za mtu kujiendeleza kwa sababu nchi yetu bado inakua,a lot of opportunities ,Tanzania ukiwa broke utalima nje viazi,utakula,ulaya ukiwa broke ni hadithi nyingine,lol
 
Back
Top Bottom