Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi gani huko dada yanguAisee mie naogopa kuumwa,ningekua mzima na sina hayo maradhi niliyonayo ningerudi.Tanzania kuna fursa nyingi za mtu kujiendeleza kwa sababu nchi yetu bado inakua,a lot of opportunities ,Tanzania ukiwa broke utalima nje viazi,utakula,ulaya ukiwa broke ni hadithi nyingine,lol
kesho ntaleta uzi wa ghetto langu Na pichaHahaha hapa ndio unapowaua
wakupe uwenyekiti tu bado upo Dernmack?
nchi gani huko dada yangu
rudi tu bongo kwa income ya 1.5m per month unaish vizuri sana
ukiweza kuwa na mbinu za kuipata hiyo kwa mwezi utaishi vizuri tu
kwa bibi,siwezi kusave sijui kwa nini,nipe mbinu basi,lol
Dada Rebeca hii ni changamoto kwa kila mtu ila inabidi ujue saving inatakiwa kua sehemu ya matumizi yako ya kila week au mwezi...
kama unavyoweka kodi, chakula, usafiri mawasiliano usiache kabisa kuweka na akiba na dharura na pambana ukikwama tumia dharura sio akiba... mwanzo ni mgumu sana mimi nilikua natumia mpaka kodi
Sasa maisha msomali angekuwa anaishi Somalia ukilinganisha anayoishi Denmark ama Norway dahulaya ni ngumu SANA. kama umeenda kimagumashi utatamani urudi home maana utaonekana kama kinyangalika fulani. kwa mTanzania kwenda ughaibuni ni kupoteza muda tu. hapa pana fursa nyingi SANA. Ulaya ni mwendo wa kubeba box na kuwapokea mizigo wageni wanapoingia na kutoka hotelini. waache Wasomali na Wakongo wapigike huko. sisi hapa shwaari.
for Tanzanians to go outside the country is by choice not by chance.
Mkuu kukata tamaa sio njia njema kwenye maisha ya binaadamu. Kuna njia nyingi tu za kujaribu mfano hutoka mialiko ya dini na shuhuli tofauti. Pia unaweza kujifanya mfanyabiashara una duka lako unataka kuweka bidhaa kutoka USA au Europe. Uswahilini kuna njia kibao za kujifanya mmiliki wa company isiojulikana(nadhani umenifahamu) ukienda ubalozini jiweke katika hali nadhifu (kiofisini) ongea English ya kiofisini sio ya ki mtaani.
Sasa maisha msomali angekuwa anaishi Somalia ukilinganisha anayoishi Denmark ama Norway dah
Wabongo bana! Leo Tz kuna fursa? Hapa hapa mnapolia kila siku Magu kawabana hela hamna mtaani....hamna demokrasia?ulaya ni ngumu SANA. kama umeenda kimagumashi utatamani urudi home maana utaonekana kama kinyangalika fulani. kwa mTanzania kwenda ughaibuni ni kupoteza muda tu. hapa pana fursa nyingi SANA. Ulaya ni mwendo wa kubeba box na kuwapokea mizigo wageni wanapoingia na kutoka hotelini. waache Wasomali na Wakongo wapigike huko. sisi hapa shwaari.
for Tanzanians to go outside the country is by choice not by chance.
mkuu unaishi Swedenkwa msomali sawa. wamejengewa eneo lao hapo Rinkibey Stockholm. actually wanafurahia maisha kuliko wangekuwa Mogadishu.