Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Naona kila unapokuta uzi wangu unaandika upupwu wako huo huo eeeeeh

Hadi udespo umekuzidi wa wivu.com

Kama hauna akili za kuandika iweje ni unakazania kuponda.. inaonyesha kwamba unatamani kujidumbukiza kwenye futi sita kisa nondo zangu.

Acha wivu wewe jione jiangalie ulivyo kwanza.. usitake kudandia nyota.. jua kuna kuea na nyota na ni nyota haswaaaa...

Eeeeeh jipige vibao vya usoni ulie kabisa
Nitaendelea kukukandia mpaka uache kupost pumba humu,siwezi kuwa na wivu na mtu kama ww
 
Masanja kama unatengeneza billions na watu wanakuita mchuuzi au ni mchuuzi kuna tatizo?
Kauli hii fulani ni mchuuzi nimeisikia kwa vijana wengi walioajiriwa wakiitumia ku-undermine wenzao waliojiajiri bila kujali hao wanaowaita wachuuzi wanatengeneza mara 100 ya mishahara yao.
 
Nitaendelea kukukandia mpaka uache kupost pumba humu,siwezi kuwa na wivu na mtu kama ww

Ha ha ha haaaaa
Yaani ndio unazidi kuonyesha kwamba unawivu juu yangu na nina nguvu unayojua ninaweza na ninaweza vuta watu kiuraisi..

Jiendeleze sio kukaa unalia ulipo hata diamond karanga umeshindwa kununua kipaketi ukala sikukuu leo

Ciao

Salamu kutoka kwa Malkia nakula zangi bata ya kuukaribisha mwaka.
 
Ha ha ha haaaaa
Yaani ndio unazidi kuonyesha kwamba unawivu juu yangu na nina nguvu unayojua ninaweza na ninaweza vuta watu kiuraisi..

Jiendeleze sio kukaa unalia ulipo hata diamond karanga umeshindwa kununua kipaketi ukala sikukuu leo

Ciao

Salamu kutoka kwa Malkia nakula zangi bata ya kuukaribisha mwaka.
Niwe na wivu na ww kisa nin au nyie endeleeni kumlamba bashite miguu bhana,wakitumaliza ss watahamia kwenu si unajua ukishazoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha
 
Kuna shule kama IST si una hela? Kwani ukiwa bongo huwezi kwenda Hawaii?

Kuna tija gani kumtoa mwanao darasa hili ambalo anasoma bure.

f83bfc1b05dcec2347d7d764da15ae7d.jpg


Anapelekwa shule na usafiri huu kama mwenyewe huna muda wa kumpeleka shule au ukiamua tu apande basi. Na shule hii kawaida inakuwa mtaa wa pili na unapoishi wewe.

995f74f6a6a60a5a9e62a06c85a310de.jpg


Kukurukukuru uende kumlipia mamilioni katika katika darasa la shule hii ambalo shule yake inaweza kuwa maili kumi za usafiri wa Bongo kutoka nyumbani kwako.

0ad5378c009cf53c7424804a63f99e96.jpg


Rrondo hata kama unatengeneza mabilioni kumbuka udhaifu wa pesa ya Bongo na kila kitu unatakiwa ulipe au uhonge.
 
Unafahamu kwamba unaweza kuwa tajiri kwa kufanya biashara na shule ambapo wewe unakuwa unaitwa education resources provider.

Yaani unakuwa unatengeneza mazingira hayo ya kusomea watoto na unalipwa na hizo shule.

Hivyo unaweza kuanzisha kampuni ya kutengeza mazingira ya kusomea watoto wa shule na ukawa unafanya hivyo kwenye shule nyingi tu.

Mbona kwenye shule binafsi na zile za kimataifa za Tanzania wanaweka hayo mazingira?

Siyo lazima kila kitu kiwe cha Ulaya kwani hizo facilities zote zinaweza kupatikana Tanzania.

Hivyo utaona kuwa akili za sisi watanzania na waafrika kwa ujumla siku zote ni kupenda kujishusha na kusifia vya wengine.

Utafanya hivyo kwa shule za serikali? Serikali hii ya Magufuli anayefikiri kila mwenye pesa ni mpiga dili?

Ni kweli kwenye huduma za jamii, bado kuna nafasi nyingi za kupata pesa kwa kuwa service provider.
 
Shule za hapa hapa ndizo zilizow
halafu huwa nawaambiaga diaspora wengi kuwa, muda wa kufanya biashara na uwekezaji ndiyo huu. everything viko straight away. leteni mitaji. bongo fursa zipo nyingi tu.
Waje mkuu...
 
Kosa tunalifanya hapa ni kufananisha a few billionaires na diaspora anayefanya 9-5. Kwa nini tusifananishe maisha ya bigshot wa Tanzania na bigshsot wa marekani? Hiyo ndio utakuwa fair.
Njia nzuri ya kujua wapi kuna unafuu ni kutazama median income angalau. Pia tunaweza kutazama access ya huduma na ubora wa huduma kwa watu wa kipato cha kati na chini kwa kuwa hawa ndio wengi zaidi.
Na kama kuna ulazima wa kufananisha wafanyaviashara wakubwa wa kkoo na dayaspora basi wafananishwe na wafanyabiashara wakubwa wa New York au London.
 
Hilo nimeliona ila huko serikalini ndio kunatufanya tuwe magutu magutu.
Hiki ni kisingizio tu, fanya vitu vyako kisheria uone kama serikali itakubugudhi.
Naona hutaki kuacha pensheni Marekani umesahau, kwenye economic meltdown hata hiyo pensheni huwa inarudi kusoma zero.
Hiyo unayotumia kwenda Hawii na Cayman Island ukichukua as little as $10,000 huku bongo unapata 150-200 acres of productive land. Inafaa hata kufanyia processing ya ngozi ama kulimia maua (ambayo sisi hatuyahitaji) ukaexport hukohuko.
Mimi nadhan wenzetu mmeshapata exposure, mmeona technologies, mashines rundini muendeleze kwenu.
 
diaspora wengi wanapenda kujificha nyuma ya dual citizenship. lkn kiukweli hakuna ugumu wowote kwa mTanzania yeyote aliyeko ughaibuni kuja kufanya lolote nyumbani. waJerumani wanasema mJerumani ni damu na si makaratasi. Waingereza wanasema mbwa akizaliwa kwenye nyumba ya farasi hawi farasi. hivyo mTanzania kwenda ughaibuni hakukufanyi usiwe mTanzania. mTanzania ni damu. tafuteni hela mje muwekeze nyumbani kwa maendeleo ya ndugu na taifa lenu kwa ujumla.
Umeongea point sana
 
Hiki ni kisingizio tu, fanya vitu vyako kisheria uone kama serikali itakubugudhi.
Naona hutaki kuacha pensheni Marekani umesahau, kwenye economic meltdown hata hiyo pensheni huwa inarudi kusoma zero.
Hiyo unayotumia kwenda Hawii na Cayman Island ukichukua as little as $10,000 huku bongo unapata 150-200 acres of productive land. Inafaa hata kufanyia processing ya ngozi ama kulimia maua (ambayo sisi hatuyahitaji) ukaexport hukohuko.
Mimi nadhan wenzetu mmeshapata exposure, mmeona technologies, mashines rundini muendeleze kwenu.

Hapo kwenye ardhi nikinunua niandike jina la nani? Kufungua benki akaunti tu waliniletea ujinga nikaacha.
 
He
hahahaha Paul! Nashangaa hata Mimi. Wafanyakaz wanapunguzwa serikalini, private Na umma. Mabenki hayatoi mikopo. Kilimo hoi simple things Kama maziwa maji Safi Na salama anasa. Biashara za kubahatisha. Fursa hamna bongo Ni bomu linangojea kulipuka watu watachinjana vibaya Sana Mungu aepushe gepu la laifu siyo mchezo
Hebu mtuache kuna mtu kanyimwa mshahara?
 
Kosa tunalifanya hapa ni kufananisha a few billionaires na diaspora anayefanya 9-5. Kwa nini tusifananishe maisha ya bigshot wa Tanzania na bigshsot wa marekani? Hiyo ndio utakuwa fair.
Njia nzuri ya kujua wapi kuna unafuu ni kutazama median income angalau. Pia tunaweza kutazama access ya huduma na ubora wa huduma kwa watu wa kipato cha kati na chini kwa kuwa hawa ndio wengi zaidi.
Na kama kuna ulazima wa kufananisha wafanyaviashara wakubwa wa kkoo na dayaspora basi wafananishwe na wafanyabiashara wakubwa wa New York au London.

Yaani unataka kuwafananisha na Trump? Utauwaaa. Hawa ni samaki wakubwa kwenye bwawa dogo. Tatizo wabongo wengi hawawezi kuandika majina yao kwenye hoteli kama hivi kwa sababu hela wamefisadi
fed0a230fca8c4bb9597423a9a497fe0.jpg
 
Hapo kwenye ardhi nikinunua niandike jina la nani? Kufungua benki akaunti tu waliniletea ujinga nikaacha.
We jamaa sijui unasema nini. Kufungua account walikusumbua kwa ajili gani hasa, be specific. Kuna watu wengi tu sio Watanzania wanakuja na kuoperate bank account kama kawaida. Mimi nimeishi na volunteers wengi sana.
Hao mnaowatumikia wamechangishana mitaji wamekuja wamenunua thousands of acres halafu wewe mtanzania unauliza ununue kwa jina gani?? Au we msomalia??
Hapa Iringa wilaya ya Kilolo kuna wazungu (binafsi sio makampuni) wanamiliki ekari mamia kadhaa kwa miaka 99, just like watanzania, wanapanda avocado trees, sijui wameona opportunity gani.
Kuna waingereza wa forest company wanamiliki laki kadhaa za acres of land for tree farming, kwa sasa ni moja kati ya wauzaji wakubwa wa nguzo za umeme na treated timbers.
Hebu tuleteeni skills mlizojifunza huko
 
Ukiwa vizuri vumbi unalisikia tu. Ila nimefurahi kusikia unajua kuwa hio $150,000 Bongo ni ndogo sana. Sasa ukirudi na exposure yako na kufanya wanachofanya wao kiswahili mambo lazima yawe sawa.

Hiyo 150,000 bongo ni ndogo sana?

Kama ni ndogo sana maana yake ni kwamba hata upatikanaji wake ulio wa kihalali ni mrahisi sana, siyo?

Kwa hiyo, kama upatikanaji wake ni mrahisi kihivyo basi hata nikiwa Dumila huko naweza tu kuzipata kirahisi maana ni kiasi kidogo sana, si ndiyo?
 
Mtafute Le Mutuz ze big show king of all social networks
 
We jamaa sijui unasema nini. Kufungua account walikusumbua kwa ajili gani hasa, be specific. Kuna watu wengi tu sio Watanzania wanakuja na kuoperate bank account kama kawaida. Mimi nimeishi na volunteers wengi sana.
Hao mnaowatumikia wamechangishana mitaji wamekuja wamenunua thousands of acres halafu wewe mtanzania unauliza ununue kwa jina gani?? Au we msomalia??
Hapa Iringa wilaya ya Kilolo kuna wazungu (binafsi sio makampuni) wanamiliki ekari mamia kadhaa kwa miaka 99, just like watanzania, wanapanda avocado trees, sijui wameona opportunity gani.
Kuna waingereza wa forest company wanamiliki laki kadhaa za acres of land for tree farming, kwa sasa ni moja kati ya wauzaji wakubwa wa nguzo za umeme na treated timbers.
Hebu tuleteeni skills mlizojifunza huko

Mimi ni mzawa hao wazungu wamenunua kama wawekezaji au ndio unawachoma hivyo kwa Lukuvi. Mimi benki za Dar ziliniambia siwezi kufungua akaunti kwa sababu sio raia.
 
Back
Top Bottom