Princemwalejr
JF-Expert Member
- Nov 9, 2017
- 496
- 489
Hiyo IST haioni ndani kwa Johns Creek High School, kwa mfano tu. Na hiyo ni public high school.
Nikikutajia private schools ndo kabisaaaaaa hiyo IST yenu hata vumbi haitotimuliwa.
Kwanza international school ni shule ya kiraka. Baba akimaliza mwaka wake wa kukaa Bongo anahama na mwanawe. Si shule yenye ubora wa shule za kawaida.