je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saakama mna uchungu rudini mtoe mchango wenu siomnasubiri vyeo vya kuteuliwa
kama unajua hakuna atakayekulipa wacha kulalamika wanaoridhika na hicho wanachopata ndio wanajenga nchije nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
Mkuu umeenda ubalozini na hukupata huduma vizuri au hapakuwa na juice/coffee leo??[emoji23]Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.
nch inajengwa kwa misaada bana. Kigangwala alipofungia watu geti eti wanalalamika wengine tunaish mbali. Je waliposain mkataba hawakuona ni mda gani wa kuripotikama unajua hakuna atakayekulipa wacha kulalamika wanaoridhika na hicho wanachopata ndio wanajenga nchi
ni kweli ovyo ila kwa wanaojielewa na wamekuja kutafuta maisha kiukweli siyo ovyodiaspora ovyoooo sana ukakasi mtupu
tupo mkuu tupo. Tena mada imenikuta narud gettoDayaspora njooni huku mtu karusha jiwe gizani
sasa nyinyi wala vumbi mnaojidai mna elimu iliyokamilika hata toothpick tu holaaaaaa. Nchi inajengwa kwa misaada. Badala mkimbilie kuwajengea wananch makazi mengi na bora pamoja na mfumo mzuri wa upatikanaji maji safi na salama manakimbilia miflaiova migorofa na midaraja kama ya kigambon.Diaspora wetu wengi hawajielewi, wanaona fahari kurusha picha za maghorofa ughaibuni kuliko kuwezeka kwao. Na wengi wao wana ELIMU YA HAPA NA PALE. Shame on u DAYASPORA!!!
Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.
Labda ujiji...Hivi hata cc wa kigoma ni diaspora?