mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Zidi kujifurahisha ,ukweli ndo huo,life ngumu kwa mvivu,bongo fursa kibaoUshaambiwa na vijana wa kibongo wanaotaka kutimkia ughaibuni kuwa bongo life ni ngumu
Wengine wamejaribu kilimo cha ufuta na wamekula loss tu
Wengine wameshajiapiza eti "bora mbwa wa Ulaya kuliko mwafrika wa Africa"
Nashindwa kuelewa