Lugha ikianza kupanda atasafiri sana huyo kwa hivi sasa ni janja ya nyani ooh sitaki kusafiri kumbe shida ni lugha na afya!!Mleta mada unataka ufuatwe? Acha ubazazi. Kama waipenda nchi yako rudi kwenu upambane. Kila enzi zina mwisho wake jamani. Mwelewe JPM ni mtu wa aina gani, mkishaelewa hakutakuwa na malalamiko ya aina hii. JPM hana muda wala pesa za kupoteza kuja huko kukaa na nyie kwenye cocktail parties. Kama Wataka posiiton katika public office kuna taratibu zake.
Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app