Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Mleta mada unataka ufuatwe? Acha ubazazi. Kama waipenda nchi yako rudi kwenu upambane. Kila enzi zina mwisho wake jamani. Mwelewe JPM ni mtu wa aina gani, mkishaelewa hakutakuwa na malalamiko ya aina hii. JPM hana muda wala pesa za kupoteza kuja huko kukaa na nyie kwenye cocktail parties. Kama Wataka posiiton katika public office kuna taratibu zake.

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
Lugha ikianza kupanda atasafiri sana huyo kwa hivi sasa ni janja ya nyani ooh sitaki kusafiri kumbe shida ni lugha na afya!!
 
tupewe nafasi tuchangie maendeleo ya Taifa letu
 
View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.

UPDATE:
Tumeanza kumtanguliza Miss Tanzania USA aje aangalie fursa ya sisi kuja kuwekeza nyumbani. Mpeni Ushirikiano.
Yaani utoke kwenye kulea wazee na kufagia maeneo uje upewe kazi ofisi ya ubalozi?? Labda ya kufagia!
 
View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.

UPDATE:
Tumeanza kumtanguliza Miss Tanzania USA aje aangalie fursa ya sisi kuja kuwekeza nyumbani. Mpeni Ushirikiano.
Tizama ndugu kama ninyi ni Watanzania mnasubiri mpaka mbembelezwe mje nyumbani kufanya maendeleo? Wananchi waliopo hapa wanafanya maendeleo wenyewe bila ya kusubiri fedha za Diaspora, kama mnaona mmeukata basi wekezeni huko huko na nyinyi mtaitwa Investors (FDI) huoni kama ni cheo kwenu
 
View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.

UPDATE:
Tumeanza kumtanguliza Miss Tanzania USA aje aangalie fursa ya sisi kuja kuwekeza nyumbani. Mpeni Ushirikiano.
Endeleeni kuendesha maloli na vijiko tu huko ughaibuni ya huku tuachieni wenyewe
 
wacha nikachukue popcorn !

hii ni vita kati ya wenye wivu na wajuaji ....
Wivu?labda hao waosha wazee,wakija huku huja kuomba hifadhi ya mahali pa kulala na hata senti ya chakula hawatoi kazi kudai au haya maisha sio kama kule kwetu DC.
 
Ila sio wezi kama waliobaki nyumbani. At least wamejifunza kuishi kwa kufanya kazi siyo kuiba kama hapa.
 
Diaspora ndio mwarobaini wa rushwa nchini
 
Diaspora wengi malimbukeni tu, wanaume wanasuka ovyo, wengine hata lugha ya taifa wanajifanya hawaijui.

Mnaitakia nini Tanzania kama hamvai Utanzania

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Diaspora wengi malimbukeni tu, wanaume wanasuka ovyo, wengine hata lugha ya taifa wanajifanya hawaijui.

Mnaitakia nini Tanzania kama hamvai Utanzania

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Acha dharau wewe MLA vumbi, nchi hiyo ni ya kwetu wote
 
NYIE MNAEKUJA NCHINI NA KUDAI UGALI WA FOLENI KWA BI MKUBWA WENU HAMNA JIPYA LA KUTUFUNZA
 
Acha dharau wewe MLA vumbi, nchi hiyo ni ya kwetu wote
Vumbi la nyumbani linalipa.
Kaeni huko huko mbebeshwe maboksi hadi migongo ipinde.

Huko Sie huwa tunakuja kuchungulia na kurudi kuijenga nchi.

Diaspora Kazi yenu ni ipi kama sio juakali

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
sasa nyinyi wala vumbi mnaojidai mna elimu iliyokamilika hata toothpick tu holaaaaaa. Nchi inajengwa kwa misaada. Badala mkimbilie kuwajengea wananch makazi mengi na bora pamoja na mfumo mzuri wa upatikanaji maji safi na salama manakimbilia miflaiova migorofa na midaraja kama ya kigambon.

Sasa iyo elimu yenu inawasaidia nini? Somen muelimike bana
NATEGEMEA UTAKUWA UMESHAJIFUNZA HATA KUTENGENEZA TOOTHPICK HAYA NJOO UANZISHE KIWANDA BASI BOSI!
 
NATEGEMEA UTAKUWA UMESHAKIFUNZA HATA KUTENGENEZA TOOTHPICK HAYA NJOO UANZISHE KIWANDA BASI BOSI!
Hamna kitu chochote hao,
Hakuna innovation, hakuna tech transfer yoyote zaidi ya upuuuuz ya kutaka ulipwe elf 47 kwa saa.

Aliyewambia sisi tunanunua ndizi moja sh.3500 nani?

Huku sio Huko, wakae watulie watumikishwe wakiwachoka wanawarepatriate

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
sasa nyinyi wala vumbi mnaojidai mna elimu iliyokamilika hata toothpick tu holaaaaaa. Nchi inajengwa kwa misaada. Badala mkimbilie kuwajengea wananch makazi mengi na bora pamoja na mfumo mzuri wa upatikanaji maji safi na salama manakimbilia miflaiova migorofa na midaraja kama ya kigambon.

Sasa iyo elimu yenu inawasaidia nini? Somen muelimike bana
Wewe hujui chochote kuhusiana na macroeconimic development policy options/choices. Unaweza na ninakushauri uendelee kushughulikia maisha yako binafsi.
 
Hamna kitu chochote hao,
Hakuna innovation, hakuna tech transfer yoyote zaidi ya upuuuuz ya kutaka ulipwe elf 47 kwa saa.

Aliyewambia sisi tunanunua ndizi moja sh.3500 nani?

Huku sio Huko, wakae watulie watumikishwe wakiwachoka wanawarepatriate

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
mkuu naogopa bani tu vinginevyo ningemfuata hukohuko nikampa mapande ya "SHUBIRI"
 
mkuu naogopa bani tu vinginevyo ningemfuata hukohuko nikampa mapande ya "SHUBIRI"
Yaaaani ufupi kabisa ni sawa na kuja Dar hapa afu ategemee mission town.

Ataishia kula mihogo mchemsho na kutambea kwa ngondi'miguu'

Dar njoo chukua bidhaa potea rudi uyui mama gairo kauze kwa faida. Ukiiishi Dar uwe na Kazi rasmi otherwise utadhalilika tu.

Huu mfano unawafiti sana hapo, huko sio saiz yao. Watacompete nini na wazawa wa huko? Wanawachungulia tu, kuishia kujibanza kwa either kuolewa au kuoa vibibi kuvizia uraia wa kitapeli

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom