Zidi kujifurahisha ,ukweli ndo huo,life ngumu kwa mvivu,bongo fursa kibaoUshaambiwa na vijana wa kibongo wanaotaka kutimkia ughaibuni kuwa bongo life ni ngumu
Wengine wamejaribu kilimo cha ufuta na wamekula loss tu
Wengine wameshajiapiza eti "bora mbwa wa Ulaya kuliko mwafrika wa Africa"
Nashindwa kuelewa
Wivu unakusumbua.Haya majingaa yakishaafika huko kazi kuuza sura hayakumbuki nyumbani yanangoaja yateuliwe tu
ILA ENZI ZA GIZA WATU WAMESAFIRI SANA NCHI ZA WATUMleta mada unataka ufuatwe? Acha ubazazi. Kama waipenda nchi yako rudi kwenu upambane. Kila enzi zina mwisho wake jamani. Mwelewe JPM ni mtu wa aina gani, mkishaelewa hakutakuwa na malalamiko ya aina hii. JPM hana muda wala pesa za kupoteza kuja huko kukaa na nyie kwenye cocktail parties. Kama Wataka posiiton katika public office kuna taratibu zake.
Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app