Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Iko hivi....Globally kt soko la dunia, most of commodities are priced in dollars. eg oil, wheat, Sugar, soy, etc. Sasa dola ikipanda thamani sana that means hizi bidhaa nazo zinakuwa expensive to the rest of the world.Hapo ndo nashangaa, kwamba dollar ikiwa strong dunia nzima yaumia, ikiwa weak dunia yafurahi...
Waweza elimisha kidogo?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Why? Ni kwa vile ili wewe Mtz uweze kununua dollar inabidi uuze TZS. It works like a two way road. In order to buy one currency you must sell the other.
Maana yake ni kwamba itakugharimu shilingi nyingi zaidi ili kununua dola moja kwa vile dola imeongezeka thamani kuzidi most currencies, then Non Us countries zitapata shida kununua hizo bidhaa ambazo ziko priced in $ as they will be more expensive.
second ni kuhusu madeni ya nchi nyingi na riba zake ambayo yako priced in $. Dollar ikiwa too strong ina kuwa difficult to pay these debts as you will need more of your currency to service the debts.
Third ni kuhusu import na exports,
Dollar ikiwa strong ni advantage kwa makampuni ya kimarekani yanayo rely kwenye imported raw materials. This is because when the $ is strong imports in the US becomes cheap.
Makampuni ya Marekani kama Apple, Google etc. ambayo yanauza huduma na bidhaa zake nje ya Marekani kwa wingi yanaumia sana pindi dollar ikiwa na nguvu sana. Why? Profit zao hupungua kwa vile huduma zao zitanunuliwa kwa foreign currency za nchi ambako wanauza huduma zao, wanapo exchange fedha hizo kwenda US dollars faida inapungua since those currencies zinakuwa weak compared to $.
Kinyume chake pia ni sahihi, Dollar ikiwa dhaifu, kina Apple na Google wanaongeza mpunga sana...why? because of the revenues derived from overseas markets, they will get more dollars once wakibadili sales za overseas currencies kwenda $.
Hili utaliona sana kwenye major stock indexes kama DJIA, Nasdaq, S&P500. kipindi hiki ambacho dollar imeongezeka sana thamani na Mmarekani amezidi kupandisha interest rates zake, stocks nyingi zime nosedive, zinaelekea chini.
Federal High Interest rates na strong dollar ni bad news for the stock market globally. Dollar ikiwa strong maana yake unit moja ya $ itanunua more goods, na ni advantage kwa americans kwa vile wanapata disposable income nyingi.
...it becomes cheap for an American to do business with the rest of the world whereas inakuwa ngumu kwetu kutrade since most services are priced in $ ktk international market.
In short, the dollar is king in the global market.