Kule kwa RC ku creates TV contents, ni yeye kujiongeza, he has always been doing that, na hata sasa hapo Chuga tayari amejiongezaKile ni chombo cha habari kina sheria na miongozo yake, kwamba wahusika hawajui nini cha kufanya mpaka RC hawasaidie? Wakuu wa mikoa wote wakianza ku-facilitate maudhui ya vipindi vya televisheni itakua sahihi?.
Tuache wenye proffesional zao wafanye kazi zao kama wakitoka nje ya mstari kuna sheria na miongozo ya kuwashughulikia hakuna haja ya kuwafata ofisini kwao na silaha za kivita
Kwa kuongezea kuna mtu alitaka kusaidia zahanati huko kwao Mkoa wa kagera, akaambiwa inabidi apate kibari kutoka kwenye serikali ya eneo husika kuanzia mkoa ahdi wilaya, au aipe serikali huo msaada watafikisha kwenye zahanati husika huo ni utaratibu wa serikali, huwezi kutoa msaada kienyeji, lakini hakusema kama aliombwa rushwa hayo ni maelekezo aliyopewa na wahusika.Watu wengi hawana interest kujulikana Bongo. Nchi imewakataa sasa washoboke nayo kwa nini?
Watu wanajulikana na familia zao na kwenye jamii zao huko.
Leo nilikiwa naongea na mtu kajenga zahanati na kituo cha polisi kwao huko kijijini.
Hicho ndicho muhimu kwake.
Kwenye kuwekeza nchi haina sheria rafiki watu hata kusaidia wanaombwa rushwa.
Yani unasaidia halafu unaombwa rushwa ili usaidie.
Nani anataka ujinga huo?
Kuna mtu alikuwa anataka kutoa msaada kijijini kwao Tanga akaambiwa hospitali ndogo ya kijijini kwao haiwezi kupata msaada wa vifaa vile kabla ya hospitali ya wilaya!Kwa kuongezea kuna mtu alitaka kusaidia zahanati huko kwao Mkoa wa kagera, akaambiwa inabidi apate kibari kutoka kwenye serikali ya eneo husika kuanzia mkoa ahdi wilaya, au aipe serikali huo msaada watafikisha kwenye zahanati husika huo ni utaratibu wa serikali, huwezi kutoa msaada kienyeji, lakini hakusema kama aliombwa rushwa hayo ni maelekezo aliyopewa na wahusika.
Inawezekana kwenye hili kwasababu, kuna vifaa vinahitaji taaluma kubwa wa watoa huduma, ambao kwa level ya kituo cha afya hawakuwa na wataalam wenye elimu ya kuvitumia kutoa huduma husika. Kwa mfano, kuna vituo vya afya havina X-Ray machine, siyo kwa kukosa, ila kuna mahitaji yanayosimamiwa na vyombo husika kabla hujasimika mtambo wa x-Ray ili kulinda afya za wananchi wasipatwe na mionzi ikawadhuru, hivyo hilo pia ni sawa siyo kila kitu ni ukiritimba.Kuna mtu alikuwa anataka kutoa msaada kijijini kwao Tanga akaambiwa hospitali ndogo ya kijijini kwao haiwezi kupata msaada wa vifaa vile kabla ya hospitali ya wilaya!
Walichomaanisha ni kwamba hata ukitoa msaada wa wataalam, kituo cha kijiji hakistahiki kupata vifaa fulani kabla ya kituo cha wilayani.Inawezekana kwenye hili kwasababu, kuna vifaa vinahitaji taaluma kubwa wa watoa huduma, ambao kwa level ya kituo cha afya hawakuwa na wataalam wenye elimu ya kuvitumia kutoa huduma husika. Kwa mfano, kuna vituo vya afya havina X-Ray machine, siyo kwa kukosa, ila kuna mahitaji yanayosimamiwa na vyombo husika kabla hujasimika mtambo wa x-Ray ili kulinda afya za wananchi wasipatwe na mionzi ikawadhuru, hivyo hilo pia ni sawa siyo kila kitu ni ukiritimba.
Na unaweza kukuta kituo cha afya wahufdumu wake hawana elimu ya kutosha kuvitumia, hivyo ikawa msaada hauna maana eneo husika. Huu ni mfano tu, sitetei wala sijengi hoja kukupinga, au kuhalalisha lililotokea.
Ahaa okay, sikuelewa hivyo au sikuliangalia hivyo. Niliwapa benefit of doubt kwenye hoja yako.Walichomaanisha ni kwamba hata ukitoa msaada wa wataalam, kituo cha kijiji hakistahiki kupata vifaa fulani kabla ya kituo cha wilayani.
Ni sheria za ukiritimba wameweka tu.
Warudishe kipi ambacho ninyi mliwapa? Passport zenyewe wamezipata kwa mbinde na rushwa juu halafu leo unasema warudisheWanabodi,
Bado niko hapa nchini Marekani kwa ziara binafsi, nimejitahidi kujichanganya na baadhi ya wana diaspora wa Tanzania walioko nchini Marekani, na kujiuliza jee wana Dispora wetu, wanafanya nini cha kueleweka na cha kuonekanika?.
Nimejitahidi kuwasiliana na kile chama cha DICOTA, sikubahatika kupata ushirikiano mzuri, ila nitaendelea kuwatafuta Diaspora wetu waliofanikiwa Marekani, wanafanya nini, na hayo mafanikio yao, yanaifaidia vipi nchi yao ya Tanzania?.
Kwa kupitia juhudi binafsi, nimefanikiwa kumuona dada mmoja wa Kitanzania, aliyehamia Marekani, mwaka 1999, na yuko kule mpaka leo. Huyu dada, naomba nisimtaje jina kwasababu sikumwambia kuwa nitaandika. Nime note Diaspora wa Tanzania waliofanikiwa hapa nchini Marekani, hawapendi kutajwa au kuandikwa wanafanya nini Marekani.
Huyu Dada ni mmiliki wa kampuni inayo fanya biashara ya huduma, services industry, ameajiri watu zaidi ya 50, kila mwezi anawalipa mishahara ya zaidi ya milioni 500.
Dada kanikaribisha kwake, ana kaa mtaa wa kitajiri, anamiliki nyumba, kubwa ya ghorofa tatu na ana magari 5 ya kifahari, ikiwemo Benzi ya G Wagon na gari ya Kimarekani ya Tesla inayotumia umeme. Hesabu ya haraka haraka ya thamani ya magari ni zaidi ya Shilingi Bilioni 1 ya Kitanzania.
Huu ni mfano mmoja tuu wa Mtanzania aliyefanikiwa Marekani, ametoa ajira kwa watu, na kutengeneza faida kubwa. Nilipomuuliza kwanini asiwekeze Tanzania, alinijibu anasubiria uraia pacha, ndipo aje kuwekeza Tanzania.
Imetokea tuu mimi ninamfahamu huyu Dada, mpaka kule kijijini kwao, Sanya Juu Moshi, ambako mimi nimefika, na kabla sijakwenda Marekani, nilipita hapo kwao Sanya, sasa hali niliyoiona ya umasikini wa hapo kijijini kwao, nikilinganisha na maisha ya kitajiri na kifahari anayoishi Marekani, ni mbingu na nchi!.
Hivyo huu ni wito kwa serikali yetu kuharakisha mkakati wa uraia pacha, ili Diaspora wa Tanzania waliofanikiwa ughaibuni, waje kuwekeza nyumbani Tanzania na kurudisha shukrani nyumbani Tanzania na sio kupiga tuu mapicha kurungishia mandinga yao makali ya ma G-Wagon na ma Tesla!.
Mtu Mtanzania ana magari matano ya kifahari, nchini Marekani, anaendesha kwa kubadilisha tuu magari, halafu ile hospitali ya Kibon’goto pale Sanya, kuna wamama wajawazito, wanajifungulia chini kwa kukosa, kitanda, ile G-Wagon moja tuu, ingejaza vitanda hospitali nzima, au ma deski shule nzima!.
Nimetembelea maeneo mbalimbali ya Marekani labda nitaona mafanikio ya kuonekanika ya Diaspora wa Tanzania, zaidi ya huyu dada kunikaribisha kwake, sikufanikiwa kuona kitega uchumi chochote cha Mtanzania nchini Marekani, kila rais wetu akija Marekani ni kukutana na Watanzania waishio Marekani, na kubadilisha mawazo tuu, Rais wa Kenya akija Marekani ni anafungua miradi ya Diaspora wa Kenya.
Muda aliokuja Marekani, huyu mdada wa Tanzania, ule mwaka 1999, ni muda huo Mkenya Kevin Onyona, alihamia Marekani, na kuajiriwa na Home Depot, kampuni ya kimataifa ya uboreshaji wa nyumba ya Marekani. Sasa hivi Kevin ni mmiliki ya migahawa ya Swahili Village ambayo ni mojawapo ya mikahawa bora zaidi ya vyakula vya Kiafrika nchini Marekani.
Kevin Onyona alianzisha mlolongo huo mwaka wa 2016, na leo inajivunia migahawa mitatu. Miaka sita baadaye, ametumia migahawa yake kujenga uhusiano halisi kati ya utamaduni wa Kiafrika na dunia nzima. Mkahawa mkuu wa Swahili Village oko Rhode Island Ave, Beltsville. Migahawa mingine miwili iko Washington DC na New Jersey. Mgahawa wa Washington DC ulifunguliwa na aliyekuwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, kiongozi gani wa Kitanzania aliwahi kufungua mradi wowote wa Diaspora wa Tanzania nje ya Nchi?
Wito kwa Diaspora wetu, najua kuna uwezekano kuna mambo makubwa mazuri ya kuonekanika Diaspora wa Tanzania wanafanya, lakini hatuyaoni na hatuyajuo, hivyo natoa wito kwa Diaspora wetu, anekanikeni basi, inaumiza kila siku unaona diaspora wa wenzetu, na kujiuliza diaspora wetu wako wapi na wanafanya nini?.
Sasa mimi mwandishi wakp wa habari na mtangazaji wa kujitegemea, Pascal Mayalla, , anayeandaa vipindi vya TV, Redio, makala magazetini na kwenye mitandao ya kijamii, nikifanya kazi kupitia kampuni ya PPR, www.ppr.co.tz, ambayo sasa imetua rasmi nchini Marekani kwa kufungua ofisi, nimejotolea kuandaa vipindi vya mchango wa diaspora wa Tanzania kwa maendeleo ya taifa.
Kipindi Kipya cha TAK
TAK ni kipindi kipya cha TV chenye lengo la kuiangazia Tanzania Kitaifa, Kikanda na Kimataifa kuhusu mambo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, ambayo yanaihusu Tanzania kwenye medani za kimataifa, kama issues za Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Madola, issues za kikanda na kimataifa, AU, SADC, AfCFTA, Bunge la Afrika, Bunge la EAC, Jumuiya ya Africa Mashariki, EAC na mambo mengine ya kimataifa. Kipindi hiki kitaimulika Tanzania kwenye mikutano ya kimataifa, ukiwemo mchango wa Diaspora wa Tanzania, na wakati huo huo kuangazia fursa mbalimbali za kimataifa kwa Watanzania kuzichangamkia.
Kipindi hiki kitarushwa kwenye local channels za TV za Tanzania, DSTV, Star Times na kwenye online media.
Mimi kama Mtanzania Mzalendo, ninaumia sana kila ninapoona diaspora wa wenzetu wanafanya mambo makubwa ya kuonekanika, na kujiuliza Diaspora wetu wanafanya nini?, mbona hatuwaoni?, hivyo napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.
Paskali
Rejea za Mwandishi Kuhusu Diaspora
- Wana Diaspora, naomba ushirikiano wenu; tukutane, tujadili Tanzania ikusaidieje ili uisaidie nchi yako?
- Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
- Msikilize Mwana Diaspora Huyu. Asema Mazito na Ya Msi ftngi Kuhusu Diaspora Watanzania
- Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India
- Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship
- Kutoka Sea Cliff Hotel, Zanzibar: Kongamano la Nne la Diaspora
- Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)
- Balozi Dr.Wilbroad Slaa kuwa mwenyekiti tamasha la diaspora Sweden
Huu pia ndio utaratibu wa Waisrael, binti mdogo, hawezi kuolewa kabla yaWalichomaanisha ni kwamba hata ukitoa msaada wa wataalam, kituo cha kijiji hakistahiki kupata vifaa fulani kabla ya kituo cha wilayani.
Ni sheria za ukiritimba wameweka tu.
Ukiritimba wa kijinga tu na logical fallacies za argument from tradition.Huu pia ndio utaratibu wa Waisrael, binti mdogo, hawezi kuolewa kabla ya
binti mkubwa.
Hivyo ikitokea umempenda binti mdogo, ukamchumbia, akamlipia mahari, siku ya harusi kwa kawaida hufanywa usiku huku binti amejitanda ushungi.
Unakabidhiwa binti gizani, unafanya defloration, asubuhi ndipo unagundua kuwa umeletewa dada mtu
na sie yule uliyempenda.
Unakwenda ku complain kwa baba mkwe , ndipo unaelezwa kuwa kwa mila zetu, binti mdogo hawezi kuolewa kwanza kabla ya dada yake, hivyo unatakiwa kutoa mahari nyingine, ndipo ukabidhiwe na binti mdogo.
Kila kitu kina levels kuanzia chini, shule, hospitali, mahakama, hata nyumba unaanzia msingi.
Wakati wa Covid 19, DICOTA walitoa msaada wa madawa na vifaa tiba, ilikuwa shughuli!. Nikakumbuka makontena
ya Makonda.
Hii maana yake, unaweza kuta kuna wana diaspora wengi tuu, wana moyo na nia ya kusaidia nchi yao lakini vikwazo wanavyokutana navyo, vinawavunja moyo.
P
Ukiritimba ni kweli upo, fallacies pia zipo, ila pia kuna some logical as well. Kama mtakumbuka enzi za misaada yenye masherti, anayesaidia ndie anaamua asaidie nini, watu hawana maji, barabara wala kituo cha afya, wanaletewa mradi wa bembea za watoto.Ukiritimba wa kijinga tu na logical fallacies za argument from tradition.
Hii ndio nia ya Paskal anataka kuomba funds za project zake.Labda wanaogopa kuombwa ombwa hela, vile vile kuna misukosuko ya kisiasa akionekana hajakubaliana na baadhi ya masuala ya kiserikali, mfano Mange kimambi aliwahi kufungiwa ofisi za ile app yake
Wewe na viongozi ni sehemu ya tatizo na hamna diaspora waonajielewa watafanya kazi na nyie. I guarantee you hii agenda yako itafeli.Ukiritimba ni kweli upo, fallacies pia zipo, ila pia kuna some logical as well. Kama mtakumbuka enzi za misaada yenye masherti, anayesaidia ndie anaamua asaidie nini, watu hawana maji, barabara wala kituo cha afya, wanaletewa mradi wa bembea za watoto.
Wafadhili ndio walikuwa wanaamua watafadhili nini, Nyerere alikataa, Mwinyi akakubali.
Mkapa akawaelimisha watuulize tuna shida gani na tunahitaji nini ndipo watusaidie, ndipo basket funding ikawa introduced, fedha zote za wafadhili zinaingizwa kwenye kapu moja, na sisi ndio tunaamua tufanyie miradi gani, including general budget support.
Japo beggers can not be chooses, mtu mwenye njaa ya kitoweo, badala ya kumpa msaada wa samaki, ale, akimaliza aombe tena, na tena na tena, hivyo kuwa ni omba omba, mfudishe kuvua samaki, mpatie nyenzo za uvuvi, ajitegemee.
Ndio maana tulishauri Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tanzania tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu
P
Kauli huumba, kwasababu Mungu na shetani, wote wawili hukaa ndani yetu, ukiwaza mema, ukisema mema na kutenda mema, yote hayo ni ya Mungu aliye ndani yako, hivyo mtu ukimsemea mema, kauli yako inamuumbia mema na yanatokea.Wewe na viongozi ni sehemu ya tatizo na hamna diaspora waonajielewa watafanya kazi na nyie. I guarantee you hii agenda yako itafeli.