sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Stars mpeni timu hata katwila au julio huyo mpemba akaimbe taarab
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ibrahim Hamad Bacca na Ibrahim Hamad Hilika majina ya kizanzibar hayo ili uwatofautishe lazima utaje majina Yao matatu.Ibrahim hamad naona kaitwa mara mbili
Kaitwa kama beki na pia kama mshambuliaji.. Hongera kwake
Asante, nimekupataIbrahim Hamad Bacca na Ibrahim Hamad Hilika majina ya kizanzibar hayo ili uwatofautishe lazima utaje majina Yao matatu.
Hivi huyu kocha Mzanzibari amewahi kufundisha timu gani kwa mafanikio au kwakuwa ni Mzanzibari na bibi yule yuko madarakani?DAR ES SALAAM: KAIMU Kocha Mkuu wa @taifastars_ Hemed Suleiman Morocco ameita kikosi cha wachezaji 34 kujiandaa na mchezo wa Juni mwaka huu dhidi ya Zambia, kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 nchini Marekani, Mexico na Canada.
MAONI YANGU : Dicksoni Job na ladack Chasambi wamekua na wamekua na kiwango kizuri huu ndiyo ulikua wakati mzuri kwa vijana kutumika Taifa stars Lakini kuna ujanja ujanja mwingi na kujuana kwa wanaopanga kikosi.
View attachment 3000152
Unaelewa nini kuhusu neno NIDHAMU?Job anacheza team inayo dominate Bongo unaenda mwaka wa tatu sasa, ni starter na vice captain pia hiyo nidhamu ni kwenye team ya taifa tu mkuu?
ChJob si ana issues ya kinidhamu!! ndo maana kaachwa
Usipende kuongelea vitu kwa kusikia, Job ni beef na kocha pengine wewe tu ndio mtu pekee usiyejuaUnaelewa nini kuhusu neno NIDHAMU?
Mwenendo wa Simba SC ulikuwaje kipindi Maximo anamkataa KASEJA kutokana na utovu wa nidhamu?
tunamuamimi zaidi kocha mwenye utaalam na sisi wengine makocha wa vidole na mahaba ya vilabu tukae tu kimyaDAR ES SALAAM: KAIMU Kocha Mkuu wa @taifastars_ Hemed Suleiman Morocco ameita kikosi cha wachezaji 34 kujiandaa na mchezo wa Juni mwaka huu dhidi ya Zambia, kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 nchini Marekani, Mexico na Canada.
MAONI YANGU : Dicksoni Job na ladack Chasambi wamekua na wamekua na kiwango kizuri huu ndiyo ulikua wakati mzuri kwa vijana kutumika Taifa stars Lakini kuna ujanja ujanja mwingi na kujuana kwa wanaopanga kikosi.
View attachment 3000152
Wanagombania dem?Usipende kuongelea vitu kwa kusikia, Job ni beef na kocha pengine wewe tu ndio mtu pekee usiyejua
Reasoning yako iko low sana, umeshinda mkuuWanagombania dem?
Kwa nini asiwe Mwamnyeto?
Reasoning yako iko low sana, umeshinda mkuu
Nimemfuatlia hapo hayupo,Sebo alicheza AFCON Under 17 mwaka 2017,ila ni majeruhi kwa sasaUtakuwa umekosea jina
Yupo hapo juu soma vzr mkeka
Yeah...Dickson Job na Chasambi ni vijana na ni wachezaji wazur sana ni kocha kichaa tu ndio anaweza kuwaacha kujumuika kwenye kikosi chake.