Dickson Kabigumila: Wasanii wa muziki wa kidunia sio watumishi wa Mungu

Dickson Kabigumila: Wasanii wa muziki wa kidunia sio watumishi wa Mungu

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
1720630153669.jpg

Pastor Anafunguka...

Sijawahi kuona kampuni ya vilevi kama vile pombe ambayo inamtumia mteja wake mmoja aliyelewa huku anapigana na watu baada ya kulewa kwenye tangazo lake! Au amelala mtaroni kwa kuzidiwa na pombe, au amejisaidia (amejinyea na kujikojolea) huku anaongea mwenyewe maneno yasiyoeleweka! Haya yote pombe inayafanya lakini hata wao kampuni ya vilevi wanaona aibu kwa wateja wao kuwa wawakilishi na mabalozi wao kwa jamii.

Uwe na Uhakika
Mungu hawezi kuwakilishwa na waimba ngono, bangi, sigara, ushoga, shisha, clubbing na taka taka nyingine kama watumishi wake endapo bado wako huko wakifanya hayo.

Kama hawaiamini Injili kwanza na kutubu dhambi zao na kugeuka, kufunguliwa toka kazi zao mbaya zinazoiharibu jamii, hawawezi kuitwa watumishi wa Mungu kama sisi ambao tumeishaamua kumuishi Kristo na kumzalia Mungu matunda yapasayo toba!

It is Higher Time to Speak the Truth
Neema ni ya wote lakini ambaye hajaikubali si wa Bwana bado,

Kila amwaminiye asipotee,

Lakini kama hajaamua kuamini bado na kugeuka, si mwana wa Mungu wala mtumishi wa Mungu.

Tuilinde imani hii tuliyopewa mara moja kwa wivu mkubwa,

Wanetu watakuta kitu cha ajabu tusipoisimamia kweli yote.

Askofu Dickson Cornel KabigumilaABC Global Duniani
 

Pastor Anafunguka...

Sijawahi kuona kampuni ya vilevi kama vile pombe ambayo inamtumia mteja wake mmoja aliyelewa huku anapigana na watu baada ya kulewa kwenye tangazo lake! Au amelala mtaroni kwa kuzidiwa na pombe, au amejisaidia (amejinyea na kujikojolea) huku anaongea mwenyewe maneno yasiyoeleweka! Haya yote pombe inayafanya lakini hata wao kampuni ya vilevi wanaona aibu kwa wateja wao kuwa wawakilishi na mabalozi wao kwa jamii.

Uwe na Uhakika
Mungu hawezi kuwakilishwa na waimba ngono, bangi, sigara, ushoga, shisha, clubbing na taka taka nyingine kama watumishi wake endapo bado wako huko wakifanya hayo.

Kama hawaiamini Injili kwanza na kutubu dhambi zao na kugeuka, kufunguliwa toka kazi zao mbaya zinazoiharibu jamii, hawawezi kuitwa watumishi wa Mungu kama sisi ambao tumeishaamua kumuishi Kristo na kumzalia Mungu matunda yapasayo toba!

It is Higher Time to Speak the Truth
Neema ni ya wote lakini ambaye hajaikubali si wa Bwana bado,

Kila amwaminiye asipotee,

Lakini kama hajaamua kuamini bado na kugeuka, si mwana wa Mungu wala mtumishi wa Mungu.

Tuilinde imani hii tuliyopewa mara moja kwa wivu mkubwa,

Wanetu watakuta kitu cha ajabu tusipoisimamia kweli yote.

Askofu Dickson Cornel KabigumilaABC Global Duniani
Mond si naye aliimba hallelujah na kucheza "shusha nyavu" na Pastor Tina Shusho, hao sio watumishi?
 
Najua Angel Benard yupo USA kitambo, ila huyu Shusho tunapishanaga naye huku kisongo hemani kwa nabii mkuu.

Unaposema yupo USA unamaanisha Usa river hii ya Arumeru?
Wote walioenda kwa nabii mkuu ni lazima wapotee wapi mashimo wapi gozbert thus harmonize aligomea mwaliko, huwezi ukaenda kule uendelee na moto huo huo
 
Haya makanisa ya kiroho ndio yameuharibu Ukristo uonekane haufai maana shetani anayatumia ili kuuwa nguvu ya imani watumainie maji na mafuta chumvi
 
Back
Top Bottom