bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Nyimbo za mastep
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana amepata mbadala wa mume soon mtasikia anafunga ndoa ya piliKule kutengana na mumewe tu ni kupotea.
Mfano mzuri album mpya ya Christina shusho Ina nyimbo 25 lkn hakuna hit song za kulinganisha na za album za zamaniNyimbo nyingi za sasa haziishi kwa sababu zina uvuvio wa shetani,cha shetani huwa hakidumu
Alishamuacha Mungu zitahit vipiMfano mzuri album mpya ya Christina shusho Ina nyimbo 25 lkn hakuna hit song za kulinganisha na za album za zamani
Hivi unadhani hana? Kesha pata na ndiye aliyemfanya aachane na JohnYawezekana amepata mbadala wa mume soon mtasikia anafunga ndoa ya pili
Ila kiboko ya binadamu na mwisho wa mbwembwe zote ni uzee tu akizeeka atairudia familia yake tu..anatafuta utajiri saiz Kwa njia zoteHivi unadhani hana? Kesha pata na ndiye aliyemfanya aachane na John
Aliwapata zamani sana akiwa bado mbichi enzi za kina membe na lowasa lkn wote walirudi Kwa wake zaoHivi unadhani hana? Kesha pata na ndiye aliyemfanya aachane na John
Aliwapata zamani sana akiwa bado mbichi enzi za kina membe na lowasa lkn wote walirudi Kwa wake zao
Uzee ni mwisho wa habari yakeIla kiboko ya binadamu na mwisho wa mbwembwe zote ni uzee tu akizeeka atairudia familia yake tu..anatafuta utajiri saiz Kwa njia zote
Kupiga nini kwa uwezo wa kamba yake?Hakuna hoja hapo ni maoni kama maoni mengine tu. Nami nikatoa maoni yangu.. "acha apige kwa uwezo wa kamba yake"
Lkn had aje azeeke yule Mzee John atakuwa kaipata fresh Mungu tu amtie nguvuUzee ni mwisho wa habari yake
Lkn had aje azeeke yule Mzee John atakuwa kaipata fresh Mungu tu amtie nguvu
Mapenzi hayana Cha umri Mzee alijua kapata mke kumbe amepatikana ...anaumia sana na kwenye mahubiri yake Huwa anarusha jiwe gizani mara aseme Kuna wasanii wanapata sponsor za watu wa kuzimu Yani diamond na geodavie mara aseme Kuna wahuburi wanavaa mapete ya kuita mvutoMzee John ni mtu mzima mwenye uwezo wa kujizuia so atashinda vita.
sasa ulishangaa nini wakati ndio kazi za kaka yakoangel aliachana na mumewe nilishangaa sana
Kaka yake nanisasa ulishangaa nini wakati ndio kazi za kaka yako
shetaniKaka yake nani
Mimi Christina tu ndio ananiskitishashetani