Dida aongoza mastaa kibao kwenye birthday ya mtangazaji Warda

Dida aongoza mastaa kibao kwenye birthday ya mtangazaji Warda

ruanganyi

Senior Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
115
Reaction score
34

Mtangazaji nyota la Planet Fm ya Morogoro Warda Makongwa[mbele]akiwasili ukumbini huku akisindikizwa na shosti wake Dida ambaye pia ni mtangaazaji nyota wa redio Times Fm ya jijini Dar, kulia ni mwandishi Mwandamizi wa Global Publishers lssa Mnally Mzee wa GX 100 akitaniana na Dida.


Kulia ni ni mdogo wa mwandishi wa Global Publishers lmelda Mtema ambaye naye alifunga safari kutoka Dar mpaka Moro kuja kwenye Birthday hiyo.


Dida akiondoka kwa madaha baada ya kumuhusia mdogo wake huku Mc Chuma uleta akimkodolea jicho
 
Mbona wabaya sana manyonyo mpaka yanataka kupasua sidiria, nguo sleeveless msidiria wa mama anayenyonyesha alikosa transparent straps?????
Mikwapa ina stretch-marks kama nyani mzee kabisaaaaaa!!!!

Ali review hizi picha kabla ya kuruhusu kuletwa???!!
Imagine akiwa ndani sasa kama "kujikwatua ndio kaishia hapo" unawsza kumkimbia. . . . . . Komweee aaaargh!!!!
Huyo wa nguo la bluu kama kakoswa koswa kubakwa huko alikotoka!!!
 
Khaaaaaaaa ss ndo nn.......kuvaa zero kabisa...nyonyo kubwa...nguo blue..bra nyeupe...vimini..miguu pepsi....mwingine kavaa flats km yebo za chooni....hapo wamejikwatua mpk mwsho wao...wadada wa mjini hao...hehe
 
IMG_3973.JPG

yaani huyu ndio anabadili serengeti boys kila siku? shikamoo pesa.
 
Daaah huyo mwenye nguo ya bluu hatare.... Hapo si ajabu kila mtu amemwambia 'shost umependezaaa' kaaaz kwelikweli
 
duh wanawake wa uswahilini ama wabaya ! huyo mwingine lisidiria chafu kama dekio

Kichefu chefu tupu halafuu utalisikia "bebi suck my tit". . . . . . ma'anina msidiria mchafuuuu kiasi hicho!!!!
 
Daaah huyo mwenye nguo ya bluu hatare.... Hapo si ajabu kila mtu amemwambia 'shost umependezaaa' kaaaz kwelikweli

We si huwa unatamba una washikaji watangazaji al maarufu!!!!. . . . . . .. Joking
 
Wana sura za kiswazi hiyo mikorogo sasa wengine mabonge ka big show uvaaji zero fashion police inawahusu
 
hivi Dida kwa kudaria ana Miaka mingapi ??
 
Mbona wabaya sana manyonyo mpaka yanataka kupasua sidiria, nguo sleeveless msidiria wa mama anayenyonyesha alikosa transparent straps?????
Mikwapa ina stretch-marks kama nyani mzee kabisaaaaaa!!!!

Ali review hizi picha kabla ya kuruhusu kuletwa???!!
Imagine akiwa ndani sasa kama "kujikwatua ndio kaishia hapo" unawsza kumkimbia. . . . . . Komweee aaaargh!!!!
Huyo wa nguo la bluu kama kakoswa koswa kubakwa huko alikotoka!!!

Lolest!
 
Back
Top Bottom