CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Hivi hawawezi kupendeza bila kuvaa uchi? khaaaaaaaa!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aniweke mie mjini my foot, kwa tuvihela twa sembe! cmon wa Tanzania tusiwe wavivu namna hii. illegal business doesn't count anywhere. picha za facebook na instangram ndo zinakufanaya imuone ana pesa cmon ndo maana tutaendelea kufa na umaskini milele na milele AMINA!Unamjua Dida vizuri? Ana uwezo was kukuweka ndani na kukulisha....ingia Dida mitikisiko blog. Ni mwanamke mtafutaji hasa....tatizo in huo mkorogo na kung'ang'ania mavazi ambayo haendani Nayo....
Nimependa ID yako tu, Pumb?duh wanawake wa uswahilini ama wabaya ! huyo mwingine lisidiria chafu kama dekio
Tehhhhh majanga.. Hakuna natural
Hahahahahahahahah..... Manyonyo jeee??? Vipi sura?? asee watangazaji wengi ni wabaya mno... sauti tuu.
Lianzishwe jukwaa la fashion humu ili kusaidia watu kuvaa nguo zinazoendana na miili yao.
Wewe OLESAIDIMU utakua upande wa mwanaume!!
Aisee muda umeenda sana
Mtangazaji nyota la Planet Fm ya Morogoro Warda Makongwa[mbele]akiwasili ukumbini huku akisindikizwa na shosti wake Dida ambaye pia ni mtangaazaji nyota wa redio Times Fm ya jijini Dar, kulia ni mwandishi Mwandamizi wa Global Publishers lssa Mnally Mzee wa GX 100 akitaniana na Dida.
Kulia ni ni mdogo wa mwandishi wa Global Publishers lmelda Mtema ambaye naye alifunga safari kutoka Dar mpaka Moro kuja kwenye Birthday hiyo.
Dida akiondoka kwa madaha baada ya kumuhusia mdogo wake huku Mc Chuma uleta akimkodolea jicho
Mno yaaniAisee muda umeenda sana