Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Umri wa mbuyu twite plus wa sema sepetu toa umri wa luluhivi Dida kwa kudaria ana Miaka mingapi ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wa mbuyu twite plus wa sema sepetu toa umri wa luluhivi Dida kwa kudaria ana Miaka mingapi ??
Kichefu chefu tupu halafuu utalisikia "bebi suck my tit". . . . . . ma'anina msidiria mchafuuuu kiasi hicho!!!!
We si huwa unatamba una washikaji watangazaji al maarufu!!!!. . . . . . .. Joking
Ndo kina nani hao kwani mbona wamevurugika kama mwamvuli mbovu?
Khaaaaaaaa ss ndo nn.......kuvaa zero kabisa...nyonyo kubwa...nguo blue..bra nyeupe...vimini..miguu pepsi....mwingine kavaa flats km yebo za chooni....hapo wamejikwatua mpk mwsho wao...wadada wa mjini hao...hehe
duuuh miguu ya besdei gelo tu me hoooii ahhahahaaaa mchina lete miguu pliiizzz
Hujakosea kabisa....hata hapo nilikuwepo usiulize mimi ndo yupi kwenye hizo picha😛😛😛😛😛😛
hivi Dida kwa kudaria ana Miaka mingapi ??
Lolest!
Mbona wabaya sana manyonyo mpaka yanataka kupasua sidiria, nguo sleeveless msidiria wa mama anayenyonyesha alikosa transparent straps?????
Mikwapa ina stretch-marks kama nyani mzee kabisaaaaaa!!!!
Ali review hizi picha kabla ya kuruhusu kuletwa???!!
Imagine akiwa ndani sasa kama "kujikwatua ndio kaishia hapo" unawsza kumkimbia. . . . . . Komweee aaaargh!!!!
Huyo wa nguo la bluu kama kakoswa koswa kubakwa huko alikotoka!!!
Ya sitti Mtemvu huyu
Umri wa mbuyu twite plus wa sema sepetu toa umri wa lulu
Daa wamekaa kama mabomu.ni wazungu au
Aaargh wanakera sana hawa wajuaji wa mjini!!!Hhaaaaaaaaaaaaaaa yaani nimecheka sana
Brother you have made my day
Nshakujua emsiii umepaka rangi ya gari kama nail paint!!!!
Hahahaa nikaushie bas unadhani wenzio hawajaona?