Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewahi kusikia kuwa kuvaa ni kazi ya sanaa na si kila mtu anaweza kazi hiyo!!!Hawa watu wana vioo kweli? mwanamke sharti ujitizame kwenye kioo kama huna unamuuliza mahabuba wako,jamani huyu dida na wabluu mmmh!!!! halafu mabonge ajabu madera yangewapendeza sasa wameharibu kabisa
Nimewahi kusikia kuwa kuvaa ni kazi ya sanaa na si kila mtu anaweza kazi hiyo!!!
makahaba wa bongomovie hawa
Mtangazaji nyota la Planet Fm ya Moro
goro Warda Makongwa[mbele]akiwasili ukumbini huku akisindikizwa na shosti wake Dida ambaye pia ni mtangaazaji nyota wa redio Times Fm ya jijini Dar kulia nI mwandishi Mwandamizi wa Global Publishers lssa Mnally Mzee wa GX 100 akitaniana na Dida
Kulini ni mdogo wa mwandishi wa Global Publishers lmelda Mtema ambaye naye alifunga safari kutoka Dar mpaka Moro kuja kwenye Birthday hiyo
Dida akiondoka kwa madaha baada ya kumuhusia mdogo wake huku Mc Chuma uleta akimkodolea jichoPICHA ZAIDI>>>>
Dizaini za kwa mtogole hizi. Lishe mbovu halafu wanajikoboa
Kwa jinsi alivyo lishe mbovu tu hata kama ana uwezo haimaanishi ana lishe bora!!Unamjua Dida vizuri? Ana uwezo was kukuweka ndani na kukulisha....ingia Dida mitikisiko blog. Ni mwanamke mtafutaji hasa....tatizo in huo mkorogo na kung'ang'ania mavazi ambayo haendani Nayo....
Kwa jinsi alivyo lishe mbovu tu hata kama ana uwezo haimaanishi ana lishe bora!!
Lishe bora yataka kujua na determination, vyote hana!!
Nimewahi kusikia kuwa kuvaa ni kazi ya sanaa na si kila mtu anaweza kazi hiyo!!!
Mbona wabaya sana manyonyo mpaka yanataka kupasua sidiria, nguo sleeveless msidiria wa mama anayenyonyesha alikosa transparent straps?????
Mikwapa ina stretch-marks kama nyani mzee kabisaaaaaa!!!!
Ali review hizi picha kabla ya kuruhusu kuletwa???!!
Imagine akiwa ndani sasa kama "kujikwatua ndio kaishia hapo" unawsza kumkimbia. . . . . . Komweee aaaargh!!!!
Huyo wa nguo la bluu kama kakoswa koswa kubakwa huko alikotoka!!!
Shikamoooo.....bibi DIDA....
Mhh haya sasa hiyo ije original au meza mara moja.duuuh miguu ya besdei gelo tu me hoooii ahhahahaaaa mchina lete miguu pliiizzz