Dida aongoza mastaa kibao kwenye birthday ya mtangazaji Warda

Hawa watu wana vioo kweli? mwanamke sharti ujitizame kwenye kioo kama huna unamuuliza mahabuba wako,jamani huyu dida na wabluu mmmh!!!! halafu mabonge ajabu madera yangewapendeza sasa wameharibu kabisa
Nimewahi kusikia kuwa kuvaa ni kazi ya sanaa na si kila mtu anaweza kazi hiyo!!!
 
1. Sura mbaya
2. Shape mbaya, yameumuka umuka tu
3. Mirangi na make up mbaya
4. Wamevaa vibaya hata hawapendezi.
5. Yani wangejiona basi wasingeruhusu hizo picha kusambazwa.
 
Dizaini za kwa mtogole hizi. Lishe mbovu halafu wanajikoboa
 
makahaba wa bongomovie hawa
 
Halafu huyu dida kujichorachora hivi ni nini hasaaa.....afu uzeeni kote uku ndo anajichora heeee.......
 
Dizaini za kwa mtogole hizi. Lishe mbovu halafu wanajikoboa

Unamjua Dida vizuri? Ana uwezo was kukuweka ndani na kukulisha....ingia Dida mitikisiko blog. Ni mwanamke mtafutaji hasa....tatizo in huo mkorogo na kung'ang'ania mavazi ambayo haendani Nayo....
 
Unamjua Dida vizuri? Ana uwezo was kukuweka ndani na kukulisha....ingia Dida mitikisiko blog. Ni mwanamke mtafutaji hasa....tatizo in huo mkorogo na kung'ang'ania mavazi ambayo haendani Nayo....
Kwa jinsi alivyo lishe mbovu tu hata kama ana uwezo haimaanishi ana lishe bora!!
Lishe bora yataka kujua na determination, vyote hana!!
 
Kwa jinsi alivyo lishe mbovu tu hata kama ana uwezo haimaanishi ana lishe bora!!
Lishe bora yataka kujua na determination, vyote hana!!

Hill nalijua ila huyo jamaa amerefer Mtogole akimaanisha kuwa hana pesa......Swala lishe kwa Watanzania wengi ni mtihani wenye pesa na wasio na pesa. Kuna wanaodhani Pizza na burger ndo lishe bora ....

Na Dida hapo ndo afadhali....Siku hizi naye anakanyaga kanyaga gym......alikuwaga kama nyoka kifutu....
 

Hiyo koswa koswa umeniacha hoi.....Kwa kweli kuna uhuru wa mavazi lakini huu mwingine is a mission gome wrong....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…