Binamu nataka kuja mwanza sina pa kufikia si utanipokea kwako? Au ndo ubinam mwisho jf , nitakaa miez sita tu ila napenda sana maziwa fresh, so mwambie shemej mniwekee bill kabisa ya maziwa, na chumban mniwekee AC kabisa kama hamna
Naenda kwa binamu yangu kula sato, mpaka nikurd dar nadhan undugu utakuwa umeshakufa kabisa
Jaman huyo msukuma mueleweshe tu kuwa kwetu umbea ndo kipaji chetu, si utakuwa unaniruhus kupiga umbea kwa majirani?
Naomba nikuombee binamu? Kidogo tu jaman, halafu kuna lodge nimeona inaitwa binam nikasema ni ya binam yangu dinazarde nn au yako?
Naenda kwa binamu yangu kula sato, mpaka nikurd dar nadhan undugu utakuwa umeshakufa kabisa
Hhhhhhaaa kwa ninii hhhhhaaa
Si najua , undugu mtamu mkiwa mbali mkiwa karibu full kugombana, na apo nikija mwanza kila siku nitakuwa napiga umbea na majiran kuwa Dinazarde ananitesa hanip chakula, ana roho mbaya kama nini, jana kapigwa na mumewe , si unazijua zile za kiswazi?? Ahaaah ahaha yan kuishi na watu ni kazi binamu
mi natumia galaxy note 4 kama ya kajala
Sikukaribii tena... usije ukawa mbeibe wangu halafu siku moja ukataka kulipiza kisasi!Wenzio humu sie ni ma shemale oooh zote zafanya kazii
Sikukaribii tena... usije ukawa mbeibe wangu halafu siku moja ukataka kulipiza kisasi!
mnh, haya bhana...Na kweli kabisaaa
Kuishi na watu kazi binam kweli kabisa,kuna wengine kwenye nyumba za watu wanakua wao ndio mabos mfyuuuuu,chakula ntakupa tu labda unisingizie tu kunitafuta shari maana mbeya hua haulizwiiii
Ushawah kuish na ndugu bina???
Kumbeee... we Dinazarde, kumbe ulikuwa unanitishia farasi wa kuchora?Nenda tu hiyo nyingine ni nyoka wa kibisa haisimami wala haichezi, usiogope binamu