DIDA Shaibu aachika ndoa yake ya 4 ndani ya miezi?!!

DIDA Shaibu aachika ndoa yake ya 4 ndani ya miezi?!!

Jojo123

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
432
Reaction score
703
Mwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani.

Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??

Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.

Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?
20211229_110029.jpg
 
Huyu nadhani anataka kugeuza harusi dili la kupiga hela za michango na zawadi afu anaenda kukaa miezi tu kwenye ndoa, bado kuna watu wanachanga na kumsaport tu
Yaan ina shangaza san .. kwanza wanaume wano taka kumoa wanafuatilia kinachokuwa kimevunja ndoa zinazopita au huyu dada ana tumia nguvu za giza kuwafunga akili??
 
Mwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani. Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??

Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.

Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?View attachment 2061475
Anapeleka mipasho kwenye ndoa huyu

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] mji uwachanganya wengi
Sana mkuu, kuna muda nadhani hiyo hali pia ilichangia kwa kiasi kikubwa kumtoa kwenye ishu za media tena akiwa ndio kwanza jina linachukua nafasi, jamaa alikuwa anajua sana.. Mjini sio pa kuingia hovyo hovyo, unachomeshwa halafu wazawa wanakuwa wanasikiliza pembeni wanakucheka
 
Mwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani. Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??

Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.

Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?View attachment 2061475
Na wazazi wake wanajisikiaje kuelekea kupokea mahari kwa mara ya tano?

Waulize na hili
 
Mwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani. Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??

Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.

Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?View attachment 2061475

Itakua Dida hapendi zinaa kama vile dini inavyofundisha.

Ndio maana mwanaume akifika bei wanafunga Ndoa ili wajilie vya baraka🤣🤣🤣

Mnapomlaumu kwa ndoa kuvunjika msisahau kuwalaumu na wanaume wanamuoa na kushindwa kumsimamia kama mke kitu kinachopelekea ndoa kuvunjika
 
Back
Top Bottom