DIDA Shaibu aachika ndoa yake ya 4 ndani ya miezi?!!

DIDA Shaibu aachika ndoa yake ya 4 ndani ya miezi?!!

Watu wanakuja gundua mirinda imetumika sana. Kina kiko mbali waona hii haifai.

Changamoto itakua ni kukosa heshima tuu kwenye ndoa. Wanawake kama huyu kukoroma ni dakika chache ata kwa swala dogo
 
Yaan ina shangaza san .. kwanza wanaume wano taka kumoa wanafuatilia kinachokuwa kimevunja ndoa zinazopita au huyu dada ana tumia nguvu za giza kuwafunga akili??
Kwani wana JF si mnasema hakuna uchawi?

wewe hizo nguvu za giza unazosema zinatokea wapi?
 
Edzen home boi..kumbe na yeye alishaloweka kwa dida..hivi dida hata utamu upo kweli mana sio kwa midushe hiyo inayoteleza humo...mana hao ndio tunao wajua je tusio wajua tangu kaanza huu mchezo?

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu Dida vipi ndoa nne zote Zina mshinda au papuchi yake inaeno inang'ata hao wanaume?
It seems Dida yeye ndoa kwake ni sherehe na kuvaa magauni tu ila majukumu mengine yana mshinda.
 
Sana mkuu, kuna muda nadhani hiyo hali pia ilichangia kwa kiasi kikubwa kumtoa kwenye ishu za media tena akiwa ndio kwanza jina linachukua nafasi, jamaa alikuwa anajua sana.. Mjini sio pa kuingia hovyo hovyo, unachomeshwa halafu wazawa wanakuwa wanasikiliza pembeni wanakucheka
Hata yule Dada wa CDM aliyeko bavicha alikuwa mjinga kumrekodi Edzen na kumsambaza mitandaoni
 
Hata yule Dada wa CDM aliyeko bavicha alikuwa mjinga kumrekodi Edzen na kumsambaza mitandaoni
Kuhusu hili la video ya Ezden, sikuwa nalijua..hapa ndio naanza kuunga doti sasa, maana toka ndoa yake ivunjike Ezden amekuwa mkimya sana, amekuwa mtu wa kusoma sana vitabu na kageukia kwenye dini,amekuwa karbu zaidi na Mungu,muda wote Ezden utamkuta yupo na Quran anahimiza watu waende kuhiji Makka... Kumbe kuna ishu zake chini ya capet!!

Ugeni wa Mji ulimponza
 
CHANZO CHA NDOA KUVUNJIKA NI KIPI?


Yaani pamoja na mbwembwe zote zile za michango ya harusi PALE WASAFI na kufanya bonge la kufuru harusi lakini ndoa miezi michache ipo chali? what is wrong? DIDA OR KUMBI LA MOTO?

Sio kama nafurahia hapana, najaribu kuuliza iweje mara zote 4 aachike/waachane ? kuna vitu nahisi havipo sawa

anyone with a clue....
 
Kuhusu hili la video ya Ezden, sikuwa nalijua..hapa ndio naanza kuunga doti sasa, maana toka ndoa yake ivunjike Ezden amekuwa mkimya sana, amekuwa mtu wa kusoma sana vitabu na kageukia kwenye dini,amekuwa karbu zaidi na Mungu,muda wote Ezden utamkuta yupo na Quran anahimiza watu waende kuhiji Makka... Kumbe kuna ishu zake chini ya capet!!

Ugeni wa Mji ulimponza
Yes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapema
 
Yes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapema
Duuh..hiyo video inapatikanaje?..nimcheki home boi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapema
Aisee pole yake Ezden, hili ni fundisho kwa malimbukeni wa Miji mikubwa
 
Duuh..hiyo video inapatikanaje?..nimcheki home boi.

#MaendeleoHayanaChama
Ni ya mda mrefu Ili trending Instagram sana, kuweni makini na hao bebezi zenu kujiachia achia achia, wengi hurekod kwa Siri, nakumbuka enzi hzo Dida alikuwa anajiita Dida wa Edzen na mbwembwe kupostiana
 
Back
Top Bottom