Wanaweza wasiwe matumbo joto hata kidogo. Hatujui walikuwa na status gani kabla hawajaingia kwenye mahusiano, inawezekana ni ngoma droo.Hawa mashemeji sahivi matumbo joto.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza wasiwe matumbo joto hata kidogo. Hatujui walikuwa na status gani kabla hawajaingia kwenye mahusiano, inawezekana ni ngoma droo.Hawa mashemeji sahivi matumbo joto.....
Ndoa si karahaEh ukute alikuwa anaachika mara baada ya waoaji kugundua wameshakula Motoo wake inakuwa vurumai 😝😝😝😝
Jamvi. Tusubiri ShishiMwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani.
Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??
Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.
Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?View attachment 2061475
😄 lazima akataye kuwa naye ni mpenzi wa game hizo 😄Aiseeee Kumbe MBIKU LA YAFA ni Mzibua Mitaro.....Inasikitisha Sana.
Wazungu hawatakagi wanawake wanaojipiga mkono mmojaNamuombea Dida Mungu ampe Mwanaume mwingine ikibidi Mzungu wa ukweli wanaomtakia mabaya waaibike na kufedheheka ,
Tena mume wa kizungu kijana wa ukweli na siyo wale wazee wenye shombo kama wanawake wa kibongo wengi wanaowaokota kula nao vipensheni.
Didah utapata Mume wa kufanana naye mwaya!
Kiongozi Mkubwa lakini anatabia za Gomora na Sodoma.😄 lazima akataye kuwa naye ni mpenzi wa game hizo 😄
Ova
Yeah ,wazungu wanataka kitu OG.Wazungu hawatakagi wanawake wanaojipiga mkono mmoja
Ova
Kabda mgodi unatema, (yaliyomo yamo)Mwanamke moja kaolewa na kuachika mara 4 .. na sasa naambiwa tena yupo mbioni kufunga ndoa nyingine ya 5 na hapo ndoa ya 4 imedumu kwa miezi mi5 tu na haijachukua hata mwezi moja tangu ya nne ivunjike ya tano iko njiani.
Swali ninalo jiuliza Anaye fungisha Ni Shekhe huyo huyo moja au Kila mara Shekhe Mwingine?? Lakinia pia najiwazia hawa wanaume wote wanao organize Harusi Mpaka ndoa huwa wanakuwa kwenye hali gani kiakili??
Nawaza wanume wote hao walipima afya kabla ya kuingia kavu maana niwazi ndoa hawatumia condom,.
Je Kwa waislam Mwanaume ana ruhusa ya kuoa mara4 vip kuhusu Mwanamke anaolewa mara ngap?View attachment 2061475