Sawa tu yeye si ndo anatumika.anakunjwa anageuzwa geuzwa kama chapati alafu wahuni wanamtema.
Kwani wana JF si mnasema hakuna uchawi?Yaan ina shangaza san .. kwanza wanaume wano taka kumoa wanafuatilia kinachokuwa kimevunja ndoa zinazopita au huyu dada ana tumia nguvu za giza kuwafunga akili??
Hata yule Dada wa CDM aliyeko bavicha alikuwa mjinga kumrekodi Edzen na kumsambaza mitandaoniSana mkuu, kuna muda nadhani hiyo hali pia ilichangia kwa kiasi kikubwa kumtoa kwenye ishu za media tena akiwa ndio kwanza jina linachukua nafasi, jamaa alikuwa anajua sana.. Mjini sio pa kuingia hovyo hovyo, unachomeshwa halafu wazawa wanakuwa wanasikiliza pembeni wanakucheka
Kuhusu hili la video ya Ezden, sikuwa nalijua..hapa ndio naanza kuunga doti sasa, maana toka ndoa yake ivunjike Ezden amekuwa mkimya sana, amekuwa mtu wa kusoma sana vitabu na kageukia kwenye dini,amekuwa karbu zaidi na Mungu,muda wote Ezden utamkuta yupo na Quran anahimiza watu waende kuhiji Makka... Kumbe kuna ishu zake chini ya capet!!Hata yule Dada wa CDM aliyeko bavicha alikuwa mjinga kumrekodi Edzen na kumsambaza mitandaoni
Yes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapemaKuhusu hili la video ya Ezden, sikuwa nalijua..hapa ndio naanza kuunga doti sasa, maana toka ndoa yake ivunjike Ezden amekuwa mkimya sana, amekuwa mtu wa kusoma sana vitabu na kageukia kwenye dini,amekuwa karbu zaidi na Mungu,muda wote Ezden utamkuta yupo na Quran anahimiza watu waende kuhiji Makka... Kumbe kuna ishu zake chini ya capet!!
Ugeni wa Mji ulimponza
Duuh..hiyo video inapatikanaje?..nimcheki home boi.Yes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapema
Aisee pole yake Ezden, hili ni fundisho kwa malimbukeni wa Miji mikubwaYes Edzen isingekuwa kumuoa dida, then na kuanza kuchepuka na makamu wa bavicha angekuwa mbali sana, Sasa ujinga wao wakamupost uchi enzi hizo Instagram ndio imeanza kupamba moto. Hii date na mashangingi ya mjini mengi huwa ni michawi ka huyo dida anaroga apate ndoa then inamshinda mapema
hahahahaha....Hapa ndo najua kuna sa baadhi ya Me akili zao na tafsiri ya Wife Material pia huwa wanazijuaga wenyewe.
Edzen had a bright future alikosea kuingia kwa shangingi la jiji, na huyo wa Bavicha walimkosea mno huyo kijana aiseeAisee pole yake Ezden, hili ni fundisho kwa malimbukeni wa Miji mikubwa
Ni ya mda mrefu Ili trending Instagram sana, kuweni makini na hao bebezi zenu kujiachia achia achia, wengi hurekod kwa Siri, nakumbuka enzi hzo Dida alikuwa anajiita Dida wa Edzen na mbwembwe kupostianaDuuh..hiyo video inapatikanaje?..nimcheki home boi.
#MaendeleoHayanaChama