qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Uzuri vifo na Jela ndio huwaumbua na kuanza kupitisha michango Mpesa au kusaidiwa wapi Kajala, Ray c na wengine, wakipatwa na shida kutwa kucha kwenye media kutangaza njaa au wenzao wakiumwa wanalalamika hawana pesa, wasanii bana kweli wanafanya usanii kwenye maisha ya kweli.