Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Katika Dini ya Kiislam Wanawake hawaendi makaburiniLOKOLE kwenye Msiba ataenda makaburini au atabaki na wakinamama.
MIss u Kasie
😏Mwendo kaumaliza na uke wake kautendea haki kwa ndoa za kutosha.
Ikitokea waliokuwa waume zake tu waamue wote kwenda, wanatosha kubeba jeneza na kuchimba kaburi.
Apumzike kwa amani.
MoroAtazikwa wapi kinondoni au
Poleni
Pole sana dada, kumbe nilijua umepumzika tuu.Asante mkuu walinipa ban wamenifungulia...
Watu kama hao kina Dida wanatembea wameoza. Husikii anaumwa unasikia kifo tu.Vifo vya ghafla hivi?
Nilikuwa sijui. Asante sana.Ukimwi ni nn huelewi!?
Wambie familia yakeMbona zote pasport size. Weken full
Duh inaonekana unamjua snaaaaMwendo kaumaliza na uke wake kautendea haki kwa ndoa za kutosha.
Ikitokea waliokuwa waume zake tu waamue wote kwenda, wanatosha kubeba jeneza na kuchimba kaburi.
Apumzike kwa amani.
Alikuwa mwana chadema kumbe?View attachment 3115447
Kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa Maulid kitenge wanasema aliumwa akalazwa muhimbili ndio mauti yakamkuta
Kwa wasiomjua ni mtangazaji mkongwe, kabla ya umauti wake alikuwa akifanya kazi Wasafi fm
Kikubwa wewe uliyehai ishi kws wema. Huo ndio ulinzi pekee.....la utasemwa kwa yale uliyotenda nakuishi.Si vyema kuwananga kwa sifa mbaya wenzetu waliotangulia mbele za haki bali iwe kama ukumbusho kwetu kwani sote safari yetu ni moja na hakuna ajuaye siku wala saa......
Hii ndio pointi.Hatupaswi kuogopa kifo bali tunapaswa kujiandaa na maisha baada ya kifo.....kwani hofu na mashaka haviondoi siku ya kufa bali matendo yako mema ndivyo vitakuweka Pema.........
Hakuna mkamilifu chini ya jua....... ukiwafanyia stara wenzio na wewe utastiriwa........Kikubwa wewe uliyehai ishi kws wema. Huo ndio ulinzi pekee.....la utasemwa kwa yale uliyotenda nakuishi.
Kama hutaki kusemwa vibaya ukifa basi tenda wema usemwe kwa hayo.
Thubutu.Hakuna mkamilifu chini ya jua....... ukiwafanyia stara wenzio na wewe utastiriwa........
Kuugua mbali sana, kuna ajali zinamaliza watu wazima kabisaKidogo niulize.Kifo sio Jambo la kukebehi wote tutapitia. Koment za ugonjwa Naona ni nyingi. Hata anaejiona mzima anaweza akaugua na kutangulia😔